Recent content by Werewere

  1. Werewere

    Sera za kibiashara za DStv na media zingine zinakera

    Hata Mimi nilishawahi kutamani hvyo iwe kama vocha unalipia kwa cku ingependeza sana. Mawazo mazur mkuu.
  2. Werewere

    Unyoaji Nywele za kichwa

    Wakuu nawasalimu. Msaada jaman, kuna hz staili za kunyoa vijana wa cku hzi utakuta mtu kanyoa fresh lakini anatengeneza kitu kama mstar either hapa mbele ya utosi ama pemben kwa mbele. Je hii inaashiria chochote au ni urembo tu?
  3. Werewere

    Manara: Yanga wakijaza uwanja naacha kazi Simba

    Manara ni mjanja kiaina anataka mashabiki wa yanga waje kwa wingi. Inshort anahamasisha mpira.
  4. Werewere

    Mzalendo nisiyeipenda nchi yangu

    Kwann mkuu
  5. Werewere

    Mzalendo nisiyeipenda nchi yangu

    Wana jamvi mtanisamehe. Kuna kitu kinanikera kuhusu Timu yetu ya taifa, aka taifa stars. Ni mda sasa hatufanyi vzr kweny mashindano ya kimataifa, tunashindwa hata na mataifa jiran kama Kenya, uganda,Burundi, DRC Congo, na wengineo. Hivi tunakwama WAP sisi maana ukiangalia hayo mataifa...
  6. Werewere

    Msaada jamani

    Ndio ana miaka 2 toka amewekewa
  7. Werewere

    Msaada jamani

    Nina demu wangu na alishawekaga vijiti mkononi vya kuzuia mimba, lkn juz kati kaniambia kama ana dalili zote za kuwa kabeba mimba. Ila amepima hamna kitu. Msaada Kwa wajuzi je ni keel inaweza ikawa kaweka vijiti lkn bado akabeba mimba?
  8. Werewere

    Kuna haja ya kuwa makini na watoa salamu za rambi rambi kwenye misiba yetu , Cheo cha mtu isiwe kigezo

    Wa kwanza kuharibu ni mwenezi pili kubenea tatu mkuu Wa mkoa flan hv
  9. Werewere

    CCM acheni kuleta siasa kwenye msiba wa Dr.Mengi!

    Kama hana nguo nyingine afanyaje sasa aje uchi?
  10. Werewere

    Tundu Lissu kuanza ziara Ujerumani mwezi Aprili

    Kama ulivyo mchangia wew wifi yangu.
  11. Werewere

    Hassan Simba Yahaya: Balozi anayeaga aga kila ofisi badala ya kuripoti Zambia

    Kama ni hivyo aje aniage na mm mtanzania mwenzake huku kijijini. Ova.
  12. Werewere

    Tundu Lissu kuanza ziara Ujerumani mwezi Aprili

    Kwahy hapo anasubiri nauli ijaejae mpk mwezi wa nne cyo kwann asiende sahv
Back
Top Bottom