Watzd na siasa za maji taka, kila mwana ccm anataharuki, ccm hawa amini kilichotokea wanaona kama ni movie, walichezea shilingi karibu na tundu la choo, sasa imetumbukia, wanahaha huku na kule, kawada tunasema majuto mjukuu, na sio masihara neno hili, sasa wasubiri real movie hapo october, ccm...