Hivi baadhi ya watanzania ni kwamba wanamchukia tu Mh. Lowasa kwa sababu zao au wanaogopa utendandaji kazi wake?
Mh Lowasa ni mtanzania na binaadamu kama mtu mwingine yeyote yule ambaye ni mtanzania na binaadamu, watanzania wamekuwa wakimuhukumu huyu mzee na kujisahahu kama wao pia ni binaadamu na wanakosea, na kwakufanya hivyo watanzania hao, wamechukua nafasi ya Mungu, na kujiona wao ndio wanaweza kuhukumu na sio Mungu, kama nikikumbuka vizuri Lowasa alishatubu tena na akaenda mbele zaidi kwa kuchukua maamuzi magumu na kuamua kujiuzuru wadhifa wake wa uwaziri mkuu.
Na Mungu alishatuambia hata kama dhambi zenu zilikuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama sufi, kwa maana hiyo Yeye ndiye anaye samehe na Yeye ndiye anaye hukumu, na msamaha wa Mungu unatatokana na pale tu, mtu anapotubu, na tukishatubu huwa tunaamini ya kwamba tumesamehewa, kwahiyo Mh Lowasa alishatubu na akaamini ya kwamba amesamehewa, sasa ni kwanini baadhi ya watanzania wanahukumu kitu ambacho kilishafanyiwa toba?
Watanzania wengi huwa hawajiamini, na kutokujiamini huwa inaleta woga, na woga ukikoma huleta chuki na wivu, tusipokuwa makini chuki na wivu ambao upo kwenye jamii leo hii, zitatuingiza kwenye migogoro isiyofaa, watanzania tubadilike, tuombee nchi yetu na tuombee viongozi wote pasipo kubagua, na mengine tumwachie Mungu.
Mh Lowasa ni mtanzania na binaadamu kama mtu mwingine yeyote yule ambaye ni mtanzania na binaadamu, watanzania wamekuwa wakimuhukumu huyu mzee na kujisahahu kama wao pia ni binaadamu na wanakosea, na kwakufanya hivyo watanzania hao, wamechukua nafasi ya Mungu, na kujiona wao ndio wanaweza kuhukumu na sio Mungu, kama nikikumbuka vizuri Lowasa alishatubu tena na akaenda mbele zaidi kwa kuchukua maamuzi magumu na kuamua kujiuzuru wadhifa wake wa uwaziri mkuu.
Na Mungu alishatuambia hata kama dhambi zenu zilikuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa nyeupe kama sufi, kwa maana hiyo Yeye ndiye anaye samehe na Yeye ndiye anaye hukumu, na msamaha wa Mungu unatatokana na pale tu, mtu anapotubu, na tukishatubu huwa tunaamini ya kwamba tumesamehewa, kwahiyo Mh Lowasa alishatubu na akaamini ya kwamba amesamehewa, sasa ni kwanini baadhi ya watanzania wanahukumu kitu ambacho kilishafanyiwa toba?
Watanzania wengi huwa hawajiamini, na kutokujiamini huwa inaleta woga, na woga ukikoma huleta chuki na wivu, tusipokuwa makini chuki na wivu ambao upo kwenye jamii leo hii, zitatuingiza kwenye migogoro isiyofaa, watanzania tubadilike, tuombee nchi yetu na tuombee viongozi wote pasipo kubagua, na mengine tumwachie Mungu.