Recent content by Werankira

  1. W

    Mzee wa Upako amchana live TB joshua

    Ukiona mtumishi wa Mungu anaacha kufanya kazi yake ya msingi ambayo ni kueneza neno la Mungu; na badala yake anaongelea na kukosoa watumishi wengine muogope kuliko njaa…
  2. W

    Katiba mpya

    Ndugu watanzania wenzangu, naomba tuwe makini sana na mchakato wa katiba kwani ndio hatima ya taifa letu kwa miaka mingi ijayo. kwa sasa jambo linalojadiliwa sana ni aina ya muungano au muungano uwe vipi.. hoja hii imeteka akili za watanzania wote. binafsi naona tungefikiria mambo ya msingi...
  3. W

    siku ya sheria nchini

    ni kwelph mahakama ni muhimili wa dola ambao ndio una wajibu mkubwa wa kutoa haki kwa jamii.. najiuliza mahakama itatekelezaje wajibu huo wakati yenyewe haipo huru? uwepo wake unategemea serikali muhimili mwingine wa dola.. mahakama ipo chini ya wizara ya sheria kwa mujibu wa sheria.. tupiganie...
  4. W

    GE2010 Matokeo ya Uchaguzi Majimbo ya Iringa

    iringa endelea kutupa raha.. tupe figure mkuu
  5. W

    GE2010 Matokeo ya awali Mkoa wa Mbeya

    ee Mungu wetu najua unawapenda watanzania ni wewe tu unayeweza kulinda kura zetu zisichakachuliwe watanzania tuombe ccm wapigwe upofu wasione kura zetu dr huree huree
  6. W

    GE2010 Matokeo ya Uchaguzi Mkoa wa Morogoro

    ee Mungu wa mbinguni shuka na ufiche kura za dr slaa ccm wasizione wala kuzichakachu!..
Back
Top Bottom