Siku zote matokeo yanapotoka yanaweza kukufurahisha, pia yanaweza kukunyima furaha.
Kila mwaka matokeo yanapotoka Nimekua nikifikiria sana kiundani kuhusu uwiano wa matokeo ya wadogo zetu, kulinganisha na uhalisia wa uwezo wao wa ku- interact na jamii, either kiutendaji wa shughuli mbali mbali...
Wanatakiwa kuelewa kua mwanachama wako hana mkataba na wewe kuhusu uamuzi wake wa kupiga kura. Uanachama unabaki kua uanachama na maamuzi ya nani ampigie kura anabakinayo mru mwenyewe, haviingiliani
Dunia yetu inaongozwa na viongozi wengi wa mataifa mbalimbali, kuanzia ngazi za urais mpaka ngazi za chini kabisa, viongozi hawa wana msaada mkubwa sana katika maisha yetu ya kila siku hapa duniani. Lakini bila kusahau kua Mungu ndiye mwangalizi wa kila kitu hapa duniani, kwahio anastahili sifa...
Point Namba 2 ulitakiwa kuispecify zaidi. (Taasisi ya kisiasa): Kupambana kua taasisi ya kisiasa inahusisha sana ulazima wa kuwafikia wananchi wako kupitia shughuli za kijamii pamoja na kufanya mikutano na wananchi wako, ili uweze kujijenga katika akili za watu na kua imara katika mitazamo yao...
Sasa ni wakati wenu wa kutulia na kutathimini kuwa ninyi kama ccm mnakwendaje.. mnaelewa kua maji yamewafikia shingoni hiyo ipo wazi kabisa. Ufafanuzi ni kwamba, ingekua ni jambo la kukosa busara endapo kungekua na sababu za msingi za kumzuia.
Police wameondoka kwa aibu sana. Swali kwako...
Mimi ni mwanachama mzuri sana wa CCM, lakini kadi yangu ya kura haina chama, kwa hali waliyonayo watu wangu mtaani, bila unafiki sitaweza kufuata upepo wa CCM. Kura yangu ni kwa T.A.LISSU. Mgombea ana hoja za msingi sana zinazoonyesha mwanga katika maisha ya watu. Kiukweli tumepatwa matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.