Ufafanuzi: The Royal Tour, filamu ya Rais Samia inayolenga kukuza utalii

Binafsi napenda MHESHIMIWA RAIS SSH anavyofanya hivyo Kwanza anaitangaza nchi nje ya Tanzania,siongei kisiasa naeleza kiuhalisia.Wazungu husema NO MAN IS AN ISLAND.Hatuwezi kujitenga na Dunia miaka kumi na Tano ilopita Kuna mtu alikuwa uholanzi kule hawajui hata nchi inayoitwa Tanzania.Tumpe muda Kiongozi wetu ili afanye KAZI.
 
..Is the government / tax payers of Tanzania paying Peter Greenberg?

..how was the conclusion that tourist numbers in Peru, Mexico, and Jamaica, increased by 10% after filming Royal Tour arrived at?

..do you know the organization that did the study and its credibility?
Still tryna find answers from people such as yourself here.

10% increase in Peru, Mexico, and Jamaica mighta been claims of same governments - who knows? Too difficult to verify ‘cause numbers may have been cooked.

I’m neither on Peter’s nor our own government’s side. Just wanna know what’s what on this matter.

Just meant to provide little enlightenment that build a fire under in-depth discussion on the issue at hand
 
Binafsi napenda MHESHIMIWA RAIS SSH anavyofanya hivyo Kwanza anaitangaza nchi nje ya Tanzania, siongei kisiasa naeleza kiuhalisia. Wazungu husema NO MAN IS AN ISLAND. Hatuwezi kujitenga na Dunia miaka kumi na Tano ilopita Kuna mtu alikuwa Uholanzi kule hawajui hata nchi inayoitwa Tanzania. Tumpe muda Kiongozi wetu ili afanye KAZI.
Mimi si hasidi wala mpiga nduru wa Rais Samia, Babluu. Natamani kuona Tanzania tukipiga hatua, na kila hatua tunayojaribu kupiga napenda iwe sahihi yenye manufaa kwetu sote. Kwa taarifa uliyokusanya wewe binafsi kuhusu The Royal Tour, unadhani ni vipi Rais Samia atafanikiwa kukuza utalii kwenye nchi hii tajiri kwa vivutio vya asili?
 
I hope huyo mtaalam atamwambia Mheshimiwa Rais kwamba kuwaita watalii waje Tanzania pia wawekezaji ni upande mmoja mdogo; tatizo la Tanzania ni kiwango cha huduma wakifika hapa Bongo; kinaliza! Huyu mtaalam ana dawa ya huu ugonjwa wa Bongo!?

Tukiwaambia ukweli Watanzania wenzenu mnatuita Wapinzani! Utadhani hamtembei nje ya nchi mkaona kiwango cha usafu na huduma ya washindani wetu.
 
Still tryna find answers from stakeholders such as yourself here.

10% increase in Peru, Mexico, and Jamaica mighta been claims of same governments - who knows? Too difficult to verify ‘cause numbers may have been cooked.

I’m neither on Peter’s nor our own government’s side. Just wanna know what’s what on this matter.

Just meant to provide little enlightenment that build a fire under in-depth discussion on the issue at hand

..lets hope for the best.

..tatizo liko ktk nchi ambako watalii wanatokea.

..covid imewaathiri sana kiuchumi na kimapato ni vigumu kwao kupanga safari ndefu kuja Afrika.
 
..lets hope for the best.

..tatizo liko ktk nchi ambako watalii wanatokea.

..covid imewaathiri sana kiuchumi na kimapato ni vigumu kwao kupanga safari ndefu kuja Afrika.
Sure. Nadhani bado tuna wasaa wa kuamua kwamba tunakubaliana ama la. Muda utaongea.
 
Hakuna mtalii anayekata kusafiri na COVID hii katika nchi ambayo inaficha idadi ya maambukizi na vifo vya kila siku. Gharama za huu upuuzi bado zimefichwa na haijulikani kama Bunge liliidhisha gharama hizi. Kwangu mimi hii rebranding Tanzania ni UPUUZI MTUPU! na haitaongeza Watalii nchini kwa kifupi TUMEPIGWA!
..lets hope for the best.


..tatizo liko ktk nchi ambako watalii wanatokea.

..covid imewaathiri sana kiuchumi na kimapato ni vigumu kwao kupanga safari ndefu kuja Afrika.
 
Pamoja na ufafanuzi huo, bado kuna walakini mkubwa sana juu ya hicho mnachoita utalii wa kifalme, kwa kawaida huyo muandaaji wake lazima atakuwa na historia ya eneo na mlengwa au muhusika kulingana na tukio.

Hapa kwetu bimkubwa ndo hata mwaka hana kwenye cheo leo ghafla anatakiwa kufanya shooting kwa kigezo gani?

Marais waliofanya production huko nyuma tunaona hakuna aliyekaa madarakani kwa mwaka ni zaidi ya miaka ndiyo walifanyiwa coverage, hapa kwetu kuna nini huko?

Mimi binafsi nawaza anayeendesha hii nchi kwa upande wa pili huyo ndiye anaweza kuwa Royal Tour kwa kutengeneza deals akiwa ni mmoja wa ten per, although sisi nchi yetu inajitangaza yenyewe bila nguvu.

Kama jana nimeulizwa na mwafrika mwezangu kutoka Namibia; nyie (watanzania) mna mlima gani mrefu kuliko ule wa Kenya? Wakimaanisha Kilimanjaro!

Hapo ndipo naona kuna tatizo kwa hiyo VIP Tour na something hiden!
Give it time..... it is just a year since ascending the presidency
 
Madili yanavyopigwa na mabeberu kwenye utalii…..hoteli zao zote pesa zinalipwa uko uko ulaya…serikali haipati kitu…RIP JPM


 
Kagame.JPG
Upande wa kushoto ni Paul Kagame na kulia ni Peter Greenberg wakiwa katika kurekodi filamu ya "The Royal Tour".

Kumbuka, sio tu Tanzania, hata pia Rwanda walishafanya filamu ya "The Royal Tour".

Sio tu Rwanda na Tanzania, bali pia Poland, Mexico, Israeli, Equador, Jordan walishafanya filamu ya "The Royal Tour" mtayarishaji akiwa ni huyu Peter Greenberg na wenzake.
 
Polepole mnaanza kumjua Big Boss wa Tanzania anaye command kila kitu, umafia wote unapitia hapo!
 
Tatizo sio Royal tour tatizo ni fedha zilizotumika tunaambiwa amechangiwa na watu ambao majina yamefichwa?

Uko mbele wakitaka raslimali zetu ili wafidie fedha zao?
 
Sasa hoja yako ya msingi ni ipi hapa. Unabeza kilichofanyika au unakosoa. Tengeneza mada inayoweza kueleweka na watu wakachangia maoni
Hoja zimeisha mkuu; wametukana, wameponda, wamesingizia na kuzusha kwa kila namna lakini mama anasonga tu....kivyake. Kutokea kwa hoja-viroja km hiv ni ishara ya kuchanganyikiwa kwao; yaani chuki na dua mbaya vinawarudia watoaji badala ya mlengwa baada ya kupanguliwa na Muumba!
 
Back
Top Bottom