Recent content by WENYELE

  1. WENYELE

    Ulizingatia Auction Sheet wakati unanunua gari iliyotumika?

    Nilitumia na gari niliipokea iko exactly km sheet ilivyokua
  2. WENYELE

    Nimekuwa mgeni nyumbani kwangu. Nakosa uhuru kabisa

    Hiki ndio nilikua nakiongea sasa; mwanaune kamili huwezi lala na house girl wako; km ni father figure lazima heshima ijengwe ndani ya familia...
  3. WENYELE

    Nimekuwa mgeni nyumbani kwangu. Nakosa uhuru kabisa

    Si kweli mkuu; as baba wa familia you should not cross the line; fanya mambo hayo mbali; hakimisha unaofanya nao hawamjui mkeo na watakiwi kumjua kamwe otherwise utamkosea heshima sana mkeo
  4. WENYELE

    Nimekuwa mgeni nyumbani kwangu. Nakosa uhuru kabisa

    Mimi ni mwanaume; napiga sana mechi tu ila katika hali yoyote ile sitakuja kufanya kwa piso yoyote iliyopo kwangu hata akiwa mpita njia tu
  5. WENYELE

    Nimekuwa mgeni nyumbani kwangu. Nakosa uhuru kabisa

    Nimesoma hadi mwisho but km wewe ni baba wa familia na una tamaa za kijinga km hizi basi hujawa kuwa mwanaune
  6. WENYELE

    Natafuta Duka la Spare orijino za Mitsubishi Pajero

    Wakuu ni wapi hapa Dar nitapa duka linalouza spare orijino za Mitusbishi? Km unafahamu nipatie mawasiliano wakuu
  7. WENYELE

    TFDA & TBS Food product registration

    Mkuu angalie PM yako nishaweka mawasiliano
  8. WENYELE

    Natafuta dictionary newe version ya kutoka TUKI

    Wakuu natafuta dictionary newe version ya kutoka TUKI ninayo soft copy ya hii dictionary lakini imekua ya zamani sana. Kuna mtu anayo au inauzwa wapi? Asanten
  9. WENYELE

    Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

    Anyway, kweli sisi hatujawahi kutumia madawa; danger ni ndom tu....aise huwa tunananunua na kuweka kabatini.... Sie tushazoea tunaona kawaida tu
  10. WENYELE

    Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

    Nina almost 10yrs, mama watoto yuko active akiwa danger zone.....baada ya hapo mara chache....so wakati wa danger zone ni show show....(bila kuuza mechi) there after hamasa inashuka
  11. WENYELE

    Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

    Huwa hatutumii uzazi wa mpango, tunafuata Kalenda. So sisi tunachakachuliana sana wakati wa danger...bila kuuaza mechi...yaani kila siku hadi joto likishuka (danger zone ikiisha) tunabaki tu hamna hata kitu.... Wakati wa danger ni hatari nyie....ukigusa twa na bibie mnara ushasoma...
Back
Top Bottom