Cheti changu sijawahi kukitumia toka nimenaliza chuo zaidi ya miaka 10 iliyopita, hata GPA sikumbuki ilikua ya ngapi; but iko chini ya 3.5.
Nimefanya kazi taasisi kubwa za Kimataifa na makampuni makubwa.
Nimesoma hii thread nikacheka sana; namkumbuka rafiki yangu Masele tulisoma wote advance yeye anatokea Shinyanga mimi natokea Simiyu halafu tukaka room moja na vijana wa kanda ya kaskazini.
Tulitumia ushamba wetu kuwachuna sana wale jamaa, but happily life tushakua marafiki wakubwa hadi leo na...
Umetumia AI ila ime "prompt" isivyo, nimetumia AI pia nikiilezea itumie taarifa za kisayansi na haya ndiyo majibu yake kwa kirefu.
Hii ni hoja ya kiufundi na kimsingi ya kisayansi kuhusu mifumo ya kiyoyozi (AC) kwenye mabasi ya abiria:
1. Mfumo wa Uzungushaji Hewa (Air Recirculation vs Fresh...
Kati ya vitu siwezi fanya katika maisha yangu ni hiki; mke wangu amejaliwa wadogo zake wengi pisi kweli kweli wamesoma nk. Na huwa wananiheshimu kuliko maelezo.
Ni kiwango kikubwa cha kukosa nidhamu kulala na mdogo wa mke wako.
Naelewa chief but one of the worst insecurity ni kutokujibali. Jikubali tu watu wanakukubali hivyo hivyo, Mond watu huwa wanamcheka ana miguu mibaya ila hajawahi kuificha. That is the manhood chief.
Siamini kama huu uzi umeadnikwa na na real man; serious?
Nina viashiria vya upara, na mvi zimetoka kabla ya muda wake, nywele za mbele zimeota mvi na kipara pia.
But sipaki black wala starajii kufanya make up ya aina yoyote. Wakati ni ukuta na najikubali hivyo hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.