Recent content by WENYELE

  1. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    Nimesoma huu uzi, pole kwa mhusika. Mimi pia nimesoma shule za serikali, lakini lugha ya kiingereza haijawahi kuwa shida kwangu. Natokea kanda ya ziwa, hadi namaliza la saba kiswahili nilikua sikijui, nakisoma tu ila kuongea ilikua mtihani, nimeingia fomu I kiukweli naongea Kiswahili cha...
  2. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahaha! Dah!
  3. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahaha! Dah!
  4. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Moyo wa Shukrani, Hatimaye Kapata mtoto

    Kabisa, kapata mtoto baada ya miaka almost 6 ya ndoa
  5. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Moyo wa Shukrani, Hatimaye Kapata mtoto

    Leo nimepigiwa simu ya shukrani, mama wa binti akilia machozi ya furaha, binti yake kapata mtoto. Mwaka 2024 mwishoni nilienda kijijini nilikozaliwa, nikakutana na binti aliyemaliza degree na badaye aliolewa na mtumishi mmoja wa serikali Lakini nilipokutana na huyo binti, kwa rika ni km mdogo...
  6. WENYELE

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaji mwl wa kubadilishana naye, nije Bagamoyo wewe uje Moshi manispaa
  7. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye katika mambo mbalimbali

    Imetimia leo!
  8. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje mwanaume mzima unapata GPA below 4.5 chuoni?

    Cheti changu sijawahi kukitumia toka nimenaliza chuo zaidi ya miaka 10 iliyopita, hata GPA sikumbuki ilikua ya ngapi; but iko chini ya 3.5. Nimefanya kazi taasisi kubwa za Kimataifa na makampuni makubwa.
  9. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

    Bhebhe si' nang'ho, nzugu Ngangabililu aha ndulye mbuli.
  10. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

    Nimesoma hii thread nikacheka sana; namkumbuka rafiki yangu Masele tulisoma wote advance yeye anatokea Shinyanga mimi natokea Simiyu halafu tukaka room moja na vijana wa kanda ya kaskazini. Tulitumia ushamba wetu kuwachuna sana wale jamaa, but happily life tushakua marafiki wakubwa hadi leo na...
  11. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Never EVER. Chochote kilichopo kwenye uwezo wa akili yangu, siwezi kuwa na excuse nacho.
  12. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Sajili domain yako ya .com sasa kwa TZS 15,000 tu kwa mwaka.

    Si hizi za .com serikali ilipiga marufuku? Wakasema lazima iwe .co.tz? Au kuna exceptions?
  13. WENYELE

    JamiiForums Tanzania LETA LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA. 0767953873

    Nina HP pavilion, Gen 10, Corei7, Nvidia na graphic compliant; touchpad yake inasumbua ya mwaka 2021, utanipa ngapi?
  14. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Mzunguko wa hewa huwa sio mzuri ndani ya Bus zenye viyoyozi (AC), bora kufungua vioo tu

    Umetumia AI ila ime "prompt" isivyo, nimetumia AI pia nikiilezea itumie taarifa za kisayansi na haya ndiyo majibu yake kwa kirefu. Hii ni hoja ya kiufundi na kimsingi ya kisayansi kuhusu mifumo ya kiyoyozi (AC) kwenye mabasi ya abiria: 1. Mfumo wa Uzungushaji Hewa (Air Recirculation vs Fresh...
  15. WENYELE

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kati ya vitu siwezi fanya katika maisha yangu ni hiki; mke wangu amejaliwa wadogo zake wengi pisi kweli kweli wamesoma nk. Na huwa wananiheshimu kuliko maelezo. Ni kiwango kikubwa cha kukosa nidhamu kulala na mdogo wa mke wako.
Back
Top Bottom