Recent content by WENYELE

  1. WENYELE

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaji mwl wa kubadilishana naye, nije Bagamoyo wewe uje Moshi manispaa
  2. WENYELE

    Hivi inakuaje mwanaume mzima unapata GPA below 4.5 chuoni?

    Cheti changu sijawahi kukitumia toka nimenaliza chuo zaidi ya miaka 10 iliyopita, hata GPA sikumbuki ilikua ya ngapi; but iko chini ya 3.5. Nimefanya kazi taasisi kubwa za Kimataifa na makampuni makubwa.
  3. WENYELE

    Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

    Bhebhe si' nang'ho, nzugu Ngangabililu aha ndulye mbuli.
  4. WENYELE

    Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

    Nimesoma hii thread nikacheka sana; namkumbuka rafiki yangu Masele tulisoma wote advance yeye anatokea Shinyanga mimi natokea Simiyu halafu tukaka room moja na vijana wa kanda ya kaskazini. Tulitumia ushamba wetu kuwachuna sana wale jamaa, but happily life tushakua marafiki wakubwa hadi leo na...
  5. WENYELE

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Never EVER. Chochote kilichopo kwenye uwezo wa akili yangu, siwezi kuwa na excuse nacho.
  6. WENYELE

    Sajili domain yako ya .com sasa kwa TZS 15,000 tu kwa mwaka.

    Si hizi za .com serikali ilipiga marufuku? Wakasema lazima iwe .co.tz? Au kuna exceptions?
  7. WENYELE

    LETA LAPTOP MBOVU NIKUPE PESA. 0767953873

    Nina HP pavilion, Gen 10, Corei7, Nvidia na graphic compliant; touchpad yake inasumbua ya mwaka 2021, utanipa ngapi?
  8. WENYELE

    Mzunguko wa hewa huwa sio mzuri ndani ya Bus zenye viyoyozi (AC), bora kufungua vioo tu

    Umetumia AI ila ime "prompt" isivyo, nimetumia AI pia nikiilezea itumie taarifa za kisayansi na haya ndiyo majibu yake kwa kirefu. Hii ni hoja ya kiufundi na kimsingi ya kisayansi kuhusu mifumo ya kiyoyozi (AC) kwenye mabasi ya abiria: 1. Mfumo wa Uzungushaji Hewa (Air Recirculation vs Fresh...
  9. WENYELE

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kati ya vitu siwezi fanya katika maisha yangu ni hiki; mke wangu amejaliwa wadogo zake wengi pisi kweli kweli wamesoma nk. Na huwa wananiheshimu kuliko maelezo. Ni kiwango kikubwa cha kukosa nidhamu kulala na mdogo wa mke wako.
  10. WENYELE

    Kwa watu wenye changamoto ya vipara

    Imagine, fedheha sana
  11. WENYELE

    Kwa watu wenye changamoto ya vipara

    Naelewa chief but one of the worst insecurity ni kutokujibali. Jikubali tu watu wanakukubali hivyo hivyo, Mond watu huwa wanamcheka ana miguu mibaya ila hajawahi kuificha. That is the manhood chief.
  12. WENYELE

    Kwa watu wenye changamoto ya vipara

    Siamini kama huu uzi umeadnikwa na na real man; serious? Nina viashiria vya upara, na mvi zimetoka kabla ya muda wake, nywele za mbele zimeota mvi na kipara pia. But sipaki black wala starajii kufanya make up ya aina yoyote. Wakati ni ukuta na najikubali hivyo hivyo.
  13. WENYELE

    TASAF inatumia Tshs Bilioni 900 kuhudumiwa watu milioni 5

    Hao maskini walitengenezwa na nani? Mimi ni mkereketwa wa chama, familia na ukoo wetu ni kijani ila mambo ya hovyo hatuwezi yatetea
  14. WENYELE

    Msaada wa kiufundi ktk home theatre ya sony

    NI mpya? Km ndiyo kuna setting tu hujazipatua; ishawahinkunikumba mimi but alikua fundi wa sehemu niliyonunulia akaset na kufanya kazi
Back
Top Bottom