Si kweli mkuu; as baba wa familia you should not cross the line; fanya mambo hayo mbali; hakimisha unaofanya nao hawamjui mkeo na watakiwi kumjua kamwe otherwise utamkosea heshima sana mkeo
Wakuu natafuta dictionary newe version ya kutoka TUKI ninayo soft copy ya hii dictionary lakini imekua ya zamani sana.
Kuna mtu anayo au inauzwa wapi? Asanten
Nina almost 10yrs, mama watoto yuko active akiwa danger zone.....baada ya hapo mara chache....so wakati wa danger zone ni show show....(bila kuuza mechi) there after hamasa inashuka
Huwa hatutumii uzazi wa mpango, tunafuata Kalenda.
So sisi tunachakachuliana sana wakati wa danger...bila kuuaza mechi...yaani kila siku hadi joto likishuka (danger zone ikiisha) tunabaki tu hamna hata kitu....
Wakati wa danger ni hatari nyie....ukigusa twa na bibie mnara ushasoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.