Nimesoma huu uzi, pole kwa mhusika. Mimi pia nimesoma shule za serikali, lakini lugha ya kiingereza haijawahi kuwa shida kwangu.
Natokea kanda ya ziwa, hadi namaliza la saba kiswahili nilikua sikijui, nakisoma tu ila kuongea ilikua mtihani, nimeingia fomu I kiukweli naongea Kiswahili cha...
Leo nimepigiwa simu ya shukrani, mama wa binti akilia machozi ya furaha, binti yake kapata mtoto.
Mwaka 2024 mwishoni nilienda kijijini nilikozaliwa, nikakutana na binti aliyemaliza degree na badaye aliolewa na mtumishi mmoja wa serikali
Lakini nilipokutana na huyo binti, kwa rika ni km mdogo...
Cheti changu sijawahi kukitumia toka nimenaliza chuo zaidi ya miaka 10 iliyopita, hata GPA sikumbuki ilikua ya ngapi; but iko chini ya 3.5.
Nimefanya kazi taasisi kubwa za Kimataifa na makampuni makubwa.
Nimesoma hii thread nikacheka sana; namkumbuka rafiki yangu Masele tulisoma wote advance yeye anatokea Shinyanga mimi natokea Simiyu halafu tukaka room moja na vijana wa kanda ya kaskazini.
Tulitumia ushamba wetu kuwachuna sana wale jamaa, but happily life tushakua marafiki wakubwa hadi leo na...
Umetumia AI ila ime "prompt" isivyo, nimetumia AI pia nikiilezea itumie taarifa za kisayansi na haya ndiyo majibu yake kwa kirefu.
Hii ni hoja ya kiufundi na kimsingi ya kisayansi kuhusu mifumo ya kiyoyozi (AC) kwenye mabasi ya abiria:
1. Mfumo wa Uzungushaji Hewa (Air Recirculation vs Fresh...
Kati ya vitu siwezi fanya katika maisha yangu ni hiki; mke wangu amejaliwa wadogo zake wengi pisi kweli kweli wamesoma nk. Na huwa wananiheshimu kuliko maelezo.
Ni kiwango kikubwa cha kukosa nidhamu kulala na mdogo wa mke wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.