Watu wa njombe wanatamaduni ya kupima zaidi ya sehem moja huku akitumia majina tofauti kila kituo hasa ikitokea amekutwa na vvu hivyo takwimu zikichuliwa inaonesha waathirika ni wengi lakini si kweli kuwa njombe inaongoza
Hii si biashara wazee tamaa zenu tu japo zina ofa yake ukitanguliza tamaa umebugi au dhuruma kama hizo hiyo coins hata ukiiba inarudi kwa mlinzi wake kikubwa omba upewe semina ujue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.