Recent content by wemode

  1. W

    natafuta kazi: bsc in chemical and process engineering

    Ningependa kufahamu ulifikia wapi na hii hustle?
  2. W

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Unakuaje waziri na mawazo mgando kama hivi. Ukianza kubania technology unaua innovation kwenye nchi. Hizi laini tunatumia kama internet hotspots, kuna sehemu zingine mtandao haupo wala haushiki sasa hapo ufanyeje kama una laini moja? How do these people think :mad:
  3. W

    Naomba kufahamishwa safari ya kutoka tz hadi marekani utaratibu wake

    Kuna makampuni mengi ya ndege so inategemeana umechagua lipi. Tuseme umechagua KLM inaondoka DSM saa 5 usiku inafika Amsterdam asubuhi huwa ni kwenye saa moja hivi. Unasubiri ku connect flight kwenda US so kama unaenda New york itachukua almost 8 hrs and that is it. Nchi unazopita zinategemeana...
  4. W

    Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

    Mkuu hiyo penalty inaweza kufikia sh ngapi? na pia annual return huwa ni lini?
  5. W

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiyo app inaitwa Sofascore
  6. W

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna jamaa alipost website humu inaitwa bet365 - Sports Betting, Premier League, Champions League and International Football Odds, plus ATP and WTA Tennis Prices, Casino, Poker, Games, Vegas, Bingo nika copy link then nikajiunga nao. Watakuomba kitambulisho kama passport, driver licence na pia...
  7. W

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bet365 ina option za corners almost game zote. Premierbet na Gsb wanatoa options za corners ligi kubwa, uefa na europa.
  8. W

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu shaktar bado hajafuzu so hiyo game ni important kwao, Lakini game ya City ni sawa.
  9. W

    Govt seeks funds for Standard Gauge Railway extension

    Ushauri wa Zitto unahusikaje kwenye masuala ya ujenzi wa reli ya Kenya.
  10. W

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hiyo account yako ya crdb ni ya dollar au ya kawaida.
  11. W

    Kuporomoka kwa thamani ya Shilingi: Serikali ya Rais Magufuli inatupeleka wapi?

    Currency Conversion Google cannot guarantee the accuracy of the exchange rates displayed. You should confirm current rates before making any transactions that could be affected by changes in the exchange rates.
Back
Top Bottom