Kwahali ya biashara ilivyo ukifuatisha kilakitu kisheria biashara unafunga tunakoment tu lakini hatujui gharama za uwekezaji +uendeshaji + kodi+vibali mbalimbali ndo uje update faida leo
Kwan tanzania inaendeshwa kidikteta au kidemokrasia nijibu mkuu na kama we we unataka iende hivyo kwa nia ya kuleta maendeleo badilini katiba iwe kama ya Korea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.