Makala nzuri kwa watu wanaofuatilia yamayoendelea duniani.
Ila kuweka kumbukumbu sawa Osama aliuliwa Pakistan sio Afghanistan.
Sitasahau hiyo siku alfajiri nasikiliza BBC Swahili huku napiga kiwi niwahi class.
Mimi Nina mtizamo tofauti kidogo.
Kipind kijana na upo Ktk peak ya kushika hela tengeneza cycle ya watu baki ila wewe kweli loyal kwako.
Ndugu ndo mchawi wa kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.