Mzungu kampe dada zako awaoe..mzungu ni nani hapa? Kwanza sisi tunamshangaa kwa nini hashugulikii mambo yao ya ushoga anaingilia mambo ya watanzania au anataka kuolewa?
Ukiwa masikini unapata shida sana kuishi kwa raha..wewe unawashwa nini kwa wao kula hizo pesa? Tafuta hela wewe ulee familia yako sio kutwa unawaza umbea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.