Nashuhudia maajabu ya Dunia katika Mahakama za Tanzania.
Askari wasio wa ki mahakama walio jaa silaha za visu, mabomu na bunduki wame tanda siyo nje tu ya mahakama bali ndani ya chumba cha mahakama.
Kwa nchi za wenzetu hata kwa majirani tu Kenya, hakuna utaratibu kama huo. Na ni kawaida ya...
Jiji la Mwanza lina kumbwa na Changamoto ya mgao mkali wa Maji.
Huwezi kuamini Tz ni nchi ya aina gani? Na hali ya kushangaza Jii lililo mita 60 kutoka ukingo wa Ziwa Victoria Pande zote iwe Ilemela au Nyamagana. Mfano kituo cha Kliniki, Igombe, Sweya, Mkuyuni, Voil, Mswahili, Luchelele...
Mm nikili, nime soma SAUT na nimefanya kazi SAUT hapo awali. NIKA ONDOKA. Anae haribu chuo cha SAUT, ni Dr. Andre Negussie tu. Huyo m-Ehiopia.
Alimfukuza Prof. Mbassa kutoka SUA. Huyu Prof , alikuwa na maono makubwa kwa SAUT. Ila alipigwa vita sanaaa..aka ondoka.
Huyo mu ethiopia, ali undiwa...
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu...
Na wizara ya Elimu ilivyo jaa vilaza, wame ongeza combination ya kiislamu ktk biashara ili kujikumba kwa Samia. Wakati ikujua kabisa serikali haina DINI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.