Recent content by waziridagaakirumba

  1. W

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Dagaa mikoani ni fursa pia

    Habari ya leo wanajamii forum ?natumaini tunaendelea kupambana na kuendesha gurudumu liende mbele. Waswahili wanasema ili usianguke na baiskeli hauna budi kukanyaga pedeli ili isonge mbele na ukiacha kukanyaga lazima udondoke.Hivyo endelea kukanyaga MUNGU WA WOTE Haijalishi kiasi gani tunamkosea...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Biashara ya dagaa wasio na mchanga kupendwa na wateja

    samaki huwa zinakuwa na bei tofauti kutokana na size yake na pia aina ya samaki(sato,sangara)
  3. W

    JamiiForums Tanzania Biashara ya dagaa wasio na mchanga kupendwa na wateja

    Habari wanajamii, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida. Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au mbaya. Dagaa wa nyasi (wasio na mchanga) Gunia yenye debe 10 kilo 40 (Tsh180000/=-tsh260000/=.)...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Chakula kizuri sana
  5. W

    JamiiForums Tanzania Vumbi la dagaa chakula cha mifugo

    Habari wana jamii napenda kuwatangazia pia ,japo wengi mnanijuwa kwa kuuza dagaa, pia nimewaongezea kuwauzia vumbi la dagaa kama chakula cha mifugo. NAPATIKANA MWANZA-KIRUMBA-MWALONI. 0755213580. BEI INABADILIKA KUTOKANA NA SIKU HIVYO UNAWEZA NIPIGIA SIMU. Mkoani tunatuma haraka.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Kabsa
  7. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    mmh hatarii
  8. W

    JamiiForums Tanzania Soko la biashara ya dagaa kwa upande wa Dar es salaam nalipata vipi??

    H Hakikisha unachukua dagaa wenye quality nzuri ili kujitengenezea wateja wengi na pia chukua dagaa wa nyasi. Kwa wale wanao hitaji dagaa napatikana Mwanza kirumba Mwaloni. Mawasiliano:0755213580
  9. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Biashara yoyote inahitaji uwe na jina ndio utaona raha,uaminifu ni mojawapo ya kutengeneza jina. Karibuni sana.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Nauza dagaa kwa bei ya jumla nipo MWNZA KIRUMBA MWALONI . BEI HUBADILIKA HIVYO NI VIZURI KUWASILIANA.0755213580. MKOANI TUNATUMA MZIGO KWA BUS AU LORRY.
  11. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Yes
  12. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Ni kweli ,wabongo wengi wapo wanaoharibu na kuwakosesha wengine wateja
  13. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Apana mkuu,
  14. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    mmh wa huku mwanza wanakula sababu ndio mboga inayopatikana kwa haraka na bei ni nzuri.
  15. W

    JamiiForums Tanzania Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Kwa nini umesema hivyo mkuu
Back
Top Bottom