Tunapaswa kujifunza kuhusu aina ya usafiri unaopaswa kutumika jijini Dar es salaam, nadhani badala ya mabasi, ingetumika reli ambayo imeonyesha kuhimili na kutosheleza mahitaji soko, reli ina tumia eneo dogo, inabeba mzigo mkubwa.inatumia muda mdogo.
Nakushauri ujiongeze ukasoma Basic Safety Training chuo cha mabaharia (DMI) kisha u apply kwenye cruiser ship , kuna fursa zipo kwa watu waliosomea catering / hotel / cleaning kwa level ya juu na ujuzi wa lugha (umahiri hasa kifaransa na kispanyola) kwenye hizo meli.
Nadhan tungepaswa kumpongeza Mh Raisi, angalau kwa nia yake thabiti juu ya kutumia nguvu kazi ya ndani, mara nyingi compliance ya standards, imesisitiziwa kwa kuwekewa minimum standards au specifications za materials itakayotumika, aidha lengo la taifa ni kuhakikisha tunatumia utaalamu wa ndani...
awali ya yote nikupongeze kwa ujasiri wako,kuamua kukubali challenges,then nijaribu kutoa mawazo yangu................
wadau wengi wasisitiza kuwa bila ya academy za soka ili kuandaa vijana, tanzania haitapiga hatua ktk soka la kimataifa.hofu yangu kuwa utafiti unaonyesha...
bumu linalodaiwa kukutwa na sembe..........................................................................................................................................
You can't win a conflict at work. Winning a conflict means getting the outcome 'you' want regardless of what the 'other'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.