Huyo uliompost ninani ndio mwanao., mke wako au demu wako.., gari ni yako hivoo mbona nzuri n.a. nyumba je ushahamiaa
Usiniuulizeee maswali n.a. usinipangiaa cha kupost
Wananchi wamekuwa wakali kwa watumishi wa kada mbali mbali za umma hususani kwa upande wa afya kuwa wakali kudai huduma bora kwa kigezo kuwa kodi zao ni inayoatuajiri, huku wakiwa wapole kwa viongozi ambalo ndio chimbuko la ubovu wote wa huduma, Hata Kama ni utumishi wa umma tunaomba heshima...
Makala Ya padri haikuwa ya uchochezi? Ni stahili kwake kuzungumzuia ila akibishiwa au kupingwa ndio tunaowaona ni wachochezi Mbona tunafunga milango Ya fahamu na kuruhusu uduni wa mawazo katika kuona Au kutaka kuskia kile tutakacho tu
Hizi simu Za mikopo zinawaziziua watu kweli na kuacha kufata kanuni Za kitaaluma sawa na polisi apige picha wakati anamuadhibu mtuhumiwa, benka apige picha burugutu la pesa mwalimu apige picha majibu Ya mtihani na kupost na mifano mingi tu ni kuwa wanataaluma wamekosa weledi wa kusimamia kanuni...
Kumezuka tabia sugu Ya hivi karibuni kwa madaktari na manesi kupiga picha faili la mgonjwa lenye taarifa Za mgonjwa ila zina misdiagnosis Au mismanagement kwa muktadha wa kuonyesha kuwa daktari husika amekosea Au kuonyesha ujing a wake licha Ya kutokuzingatia taarifa Ya mgonjwa n Siri je ni...
Imekuwa kama fasheni sahivi tungoja kuskia basi flani maana ajali zimekuwa Za uhakika kama kuona usiku Au mchana na sasa tumeanza kuchomwa sasa duu kwa nn tustahiki adhabu juu ya adhabu hofu Ya ajali na moto kwa mpigo na ubaya gani juu ya nafsi inayopitia kwa mpigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.