Mkuu kwa kawaida hata wanaume wengi tunajua jinsi inayvokua kama tumelomba round ya kwanza tukirudia tena kuna ile hali nafikiri unaijua sasa alikuta hali hio
Wakuu nina rafiki yangu jana kamfumania mke wake na mfanyakazi wake wa bustani ambaye kazi yake ni kukata majani na kulisha ng'ombe.
Jamaa aliambiwa na marafiki zake na yule kijana kuwa mkeo analiwa na huyo kijana wako, jamaa akatengeneza mtego akafika usiku alipofungua mlango alikuta mke yuko...
Mimi niliwahi kua na pesa kama m40 nikapoteza yote kwenye biashara nikabaki sina kitu mkewangu akawa anatumiwa pesa kwao ananunua chakula aisee masemango kila kukicha ule uana ume uliondoka alinituma hadi kuosha vyombo nilikataa dharau nilipambana sana hadi sasa nimerudisha ile heshima sasa huyo...
Wakuu hivi kwanini vijana hatugusi kabisa biashara za viwanda tunakimbilia maduka tu
Wakati miaka ya nyuma pale kitumbini palikua ni soko la wahindi tu sasa wamebaki wachache wengi wao
Wamehamia kwenye uzalishaji wa bidhaa kwanini sisi tusifikirie huko au tunakwama wapi
Ukweli ni upi kuhusu utajiri na kutoa sadaka za mali kwa kuwapa mayatima au watu wenye mahitaji maalumu nakumbuka niliwahi Mfata tajiri mmoja wa viwanda hapa nchi nikamuambia jinsi naendesha biashara yangu lakini sioni mafanikio akaniambia toa sadaka halafu usitangaze utafanikiwa nikabaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.