Jamani kama mnaitaji gari mshapewa namba hizo hapo juu chukueni mtumiwe picha na maelezo yote mnayoitaji cyo kukosoa bila msingi
Mi nakushauri gariexpress usihangaike kujibizana na watu coz unaweza kupanic ukaharibu mambo
Kwakawaida wenye nia na gari watakutafuta hewani kupata details na picha...
Hahaaa....lowasa anawatoa mapovu wenzie aisee
sasa kama mnajua amefisadi mbona hamjawahi kumshtaki mahakaman? Na kama anavunja kanuni na taratibu za chama mbona hamumchukulii hatua? Tatizo lenu hamuwez kufanya maamuzi magumu mnaishia kulalamikiana wenyewe kwa wenyewe tuuu
Kama ufisadi ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.