Recent content by Waukaye

  1. W

    Jeshi la polisi limfukuze kazi askari huyu mara moja!

    Jamaa alimtupa katikati ya maji hajamvusha mpaka mwisho kwahyo sawa tuu
  2. W

    SIO MCHINA JAMANI HUYU NI Orignal

    Duuuuh....nataman nimpakate aisee
  3. W

    Magari Best Price offer from 7Mil

    Jamani kama mnaitaji gari mshapewa namba hizo hapo juu chukueni mtumiwe picha na maelezo yote mnayoitaji cyo kukosoa bila msingi Mi nakushauri gariexpress usihangaike kujibizana na watu coz unaweza kupanic ukaharibu mambo Kwakawaida wenye nia na gari watakutafuta hewani kupata details na picha...
  4. W

    Afande Sele kufata nyayo za Mzalendo Zitto, kukataa posho akiwa mbunge

    Hivi kashaacha kuvua nguo jukwaani?
  5. W

    Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

    Kuna nguva mwingine yupo whatsap katupia mchupi mlegezo hatariiii
  6. W

    Muuguzi amchapa mjamzito viboko, Mtoto afia tumboni, hali ya mama utata.

    Huyo muuguzi apelekwe jela ya wanaume pale segerea tena afungwe pamoja na wabakaji kwa muda wa mwezi mmoja tuu afu aachiwe huru
  7. W

    Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

    Mbona huyo mwalimu kama kapatia tuu
  8. W

    Morogoro: Polisi wa pikipiki wapigwa na wananchi

    Kwanini wanawaita tigo hao mapoliccm wapikipiki
  9. W

    Kiumbe gani kinachokutisha maishani na usingependa kukutana nacho milele?

    Najiogopa mwenyewe....yani natamani kujikimbia aisee
  10. W

    Mlinzi wa Gwajima kortini Kisutu

    Mpaka baba wa watu alizima lkn avoamka tuu bado wanae aisee daaah.... Kashajua kosa lake wamsamehe tuu...
  11. W

    Lowassa katika ubora wake leo asubuhi

    Hahaaa....lowasa anawatoa mapovu wenzie aisee sasa kama mnajua amefisadi mbona hamjawahi kumshtaki mahakaman? Na kama anavunja kanuni na taratibu za chama mbona hamumchukulii hatua? Tatizo lenu hamuwez kufanya maamuzi magumu mnaishia kulalamikiana wenyewe kwa wenyewe tuuu Kama ufisadi ndani ya...
Back
Top Bottom