Waheshimiwa wanasheria, Kuna jambo ambalo linanitatiza kwa muda mrefu naomba msaada wenu Kuhusu Pride Price?
Je, Kwenye sheria zetu imo, na zinasemaje?
SHUKRANI
by waugh
nashukru kwa aliyeheshimu mada yangu.
Nia iliyonifanya niandike ww huwezi kunibadilisha,na mimi nimetamka wazi kwa wahusika tu na sijahitaji wenye matusi na kejeli.kwanini?watanzania mnapenda matusi na lawama? Haiwezekani kila kitu ni lawama.
kwa nafasi hii napenda kukushukru mkuu wa nchi kwa kuongoza nchi kwa uwazi na demokrasia iliyotukuka katika dunia nzima. Mimi kama mwanachi wa kawaida nakutakia kheri na pole ya kulitumikia taifa,utakapokuwa umerudi nyumbani na kuwa mzee wa familia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.