Recent content by WatesiWETU

  1. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Kwanini Laptop hustuck au Kujizima yenyewe na kurestart yenyewe?

    Mazee habarini kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo. Laptop yangu nikiwasha inawak vizuri naingiza password fresh.. kisha nikitaka kuanza kufanya kazi tu ina jizima yenyewe alafu ndani ya sekunde 30 ina restart tena.. itafanya hivyo muda wote mpaka nachoka nzima na kuchomoa charge. Alafu...
  2. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli Ukuu wa Mungu hauguswi na haufikiwi na Miungu? Je Mungu ni Nguvu ya mwisho kuliko Shetani?

    Niliandika Mambo Mazito kutoka moyoni Mwangu, yanayo niumizia sana..ila Baada ya kuyatafakari..Nimefuta Ili nisije Nika Muudhi Muumba wangu.. Asante.. Admin naomb ufute hii thread kabisa ondoa na tittle yake.. Ameeni.
  3. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Utapeli na dhuluma Himo wilaya ya Moshi

    Yaan ukipata majibu uje ahapa utoe mrejesho.. maana watu wanalia sana nimekuta malalamiko ya watu kutozwa hela miaka zadi ya kumi hawapewi viwnja zaidi ya kila siku mikutano na michango isiyo kwisha.
  4. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Utapeli na dhuluma Himo wilaya ya Moshi

    Kama unajua na hufafanui.. baki n yako ya rohoni hayana msaada kwetu unatujazia tu mlongongo hapa ndugu
  5. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Utapeli na dhuluma Himo wilaya ya Moshi

    Wilaya sorry error in typing
  6. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Utapeli na dhuluma Himo wilaya ya Moshi

    Wizara ya Ardhi, Takukuru, na Usalama wa taifa Fuatilieni Utapeli Unaofanywa Mkoa wa Kilimanjaro: Watu wengi wameshalizwa mamilion na ni mchongo wa watu wa Manispaa, viongozi wa wilaya na wakishirikiana na chama cha Ushirika cha mchongo hapo Himo(Lokolova). Niende moja kwamoja kwenye issue...
  7. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Nimepata kazi shirika la wakimbizi(UNHCR) south sudan

    Dah.. Nina miaka mi5 Sina ajira.. natamani sana kujua ulifanyaje ukapats uko..natani kufanya nje ya nchi.. maana kingereza kinapanda sana na uzoefu wa kufanya na makampuni na NGOs .. so help me God. kupiti mtu hapa nipate mchongo na mm nijihisi kulamilika katik haya maisha.. uchumi ulio nitenga...
  8. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya mandhari ya hotel ya Bwana Mwamposa

    Cha ajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi Mbona hakuweza kuzikusanya amjengee Mungu Madhabahu ya Kudumu? akifa leo Ana acha kanisa gani la kuendelea...
  9. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu(Msaasa wa Mtaalamu wa kuvunja Maagano ya kimila)

    Naomba number za huyu John tafafhali.
  10. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu(Msaasa wa Mtaalamu wa kuvunja Maagano ya kimila)

    boss mtaalamu wamila au mchungaji au mganga?
  11. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Mbona kuomba naomba sana kwa miaka 7mfululizo. wewe uliombaje
  12. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Amini usi amini moja ya watumishi walio niona kanisani kwakwe na waka niambia kuwa anaona roho za mizimu zina nifuatilia na aka niombea ni huyu Sunbella.. na nika hudhuria kanisani kwake sana..ila wapi hali ipo pale pale..
  13. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Nadhan hujasoma andiko lote.. rudia tena
  14. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Nisha sali madhehebu yote matano .. na kasasa nime ishia kuokoka niko leo kwa Mwamposa, kesho kwa Suguye kesho kuwa kwa Kuhani Musa, kesho yake kwa Muliri kinondoni .. na hata kwa Makongo kwa Mtalemwa .. yaan kwa sasa na cheza n TAG churches maana Roma, Lutheran, Sabato na Angalina wameshindwa..
  15. WatesiWETU

    JamiiForums Tanzania Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Sawa ndugu naja dm
Back
Top Bottom