Recent content by waterbuck

  1. waterbuck

    JamiiForums Tanzania UTAPELI: Hayawi hayawi sasa yamekua: Tayari LBL kimewalamba

    Mpuuzi mmoja wew, acha chuki za kijinga, kweli jf ilikua ni zaman sasa nyuzi kama hizi ni za kupandisha kweli.
  2. waterbuck

    JamiiForums Tanzania Salome Binti aliyehatarisha maisha yangu, baada ya miaka 8 nimekutana naye tena

    Mkuu kama ulipanda alphard miaka 8 iliyopita bas wew, bas we ndo member wa kwanza hapa JF kuipanda hap bongo, nadhan umensoma
  3. waterbuck

    JamiiForums Tanzania Dhana ya wanawake kupenda Kama wanaume imeharibu sana jamii yetu

    Nakubaliana na wew mtoa post, but kwa mtazamo wangu wengi ni under 22 hiv. Wengi wanajiongezaga/ kuwazimia wahuni wa kitaa, college ile wanakuja kuwa na determination na ndoa tayar wanajikuta singles parent.
  4. waterbuck

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa sijui kama napendwa na wanawake kiasi hiki

    Ahahahaa alipie tangazo huyu jamaa ( Ad fee+ value added tax(vat18%)) ametisha
  5. waterbuck

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Hapo cjui itakuaje, kwangu ipo vzri kabisa. Cdhan kama watailock google coz watu wengi wanaitumia kufanya biashara
  6. waterbuck

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Hii ina favour kwa Ccm maana kuna ambao hawajui hii paper ilivyo so kwa watakao kua na kapressure kidogo pale ndan wakifikir wanachukua mda mrefu, wakishuka mpak no 10. Wasipoiona Chadema wanaez piga kwa mwngine ili tu wasiipe Ccm. Na itakua loss kwa Chadema. Hii ndo technique wanadhan itawap...
  7. waterbuck

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

    Star TV wame skip habari ya Zanzibar ya saa 3 ya BBC ikisema vimetokea vifo vya raia 9 huko Zanzibar
  8. waterbuck

    JamiiForums Tanzania GE2020 Propaganda mfu za CHADEMA ni dalili tosha kuwa wameshindwa uchaguzi

    Kama zile ajira za walimu nahis wanataka wakiwin wawashike nazo mkono hasa vijana wa lumumba
  9. waterbuck

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

    Subiri utapajua tu vzur mkuu
  10. waterbuck

    JamiiForums Tanzania GE2020 IGP Sirro: Kukaa na kulinda kura ni dalili ya kufanya vurugu, baada ya kupiga kura rudini nyumbani

    Wakala ni rahisi kulaghaiwa lakin sio wananchi, hata kama chama kimewaamin
  11. waterbuck

    JamiiForums Tanzania GE2020 Wapinzani hamkujiandaa vyema; mkishindwa msilete nongwa

    Hebu elezea alivyopambana na covid 19!
Back
Top Bottom