Habari za asubuhi jamani
Kama nilivyoanza kuandika hapo juu nilitokea kumpenda mwalim x kutoka sehem k baada ya kumpenda nilimfuata na kumweleza nia yangu na yeye hakusita kusema keshavutiwa na mimi ila tatizo alikuwa tayari ameshatolewa mahali ina maana tayari yupo kwenye ndoa.
Jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.