Recent content by WAPEKEE_

  1. WAPEKEE_

    Barua kwa vijana wetu (Dear Vijana)

    Asante sana
  2. WAPEKEE_

    SoC04 Masingo maza na masingo father, mayatima wapya wanaohitaji kituo cha taifa cha mahusiano na familia

    'MASINGO MAZA NA MASINGO FATHER', MAYATIMA WAPYA WANAOHITAJI KITUO CHA MALEZI CHA TAIFA. Ndugu zangu, Idadi ya MASINGO MAZA, inatishia uhai wa KIZAZI KIJACHO. Hivi sasa tunaanda KIZAZI ambacho hakitatambua nafasi ya BABA kwenye familia. Iko haja kama Taifa kwa miaka 25 ijayo, tuje na tiba ya...
  3. WAPEKEE_

    SoC04 Baraza la maadili la taifa kulinda kizazi kijacho

    BARAZA LA MAADILI LA TAIFA KULINDA KIZAZI KIJACHO. Suala la maadili, ni hoja mtambuka, ni suala nyeti katika jamii lenye kubeba taswira ya aina ya jamii tuliyonayo. Maadili sio kama wengi wanavyodhani , kuwa labda ni vile kuvaa mavazi ya heshima , kusalimiana na labda mdogo na Mkubwa...
  4. WAPEKEE_

    SoC04 Benki ya Vijana na wajasiriamali suluhisho la mitaji na uwekezaji kwa miradi ya vijana

    Hatimaye kila kijana anapenda biashara, kila kijana anafanya ubunifu wa wazo la biashara na bidhaa, sasa ujasiriamali sio dhana ya wale akina mama wanaotengeneza zile sabuni nyeusi nyeusi za vipande bali ujasiriamali wa sasa unachukuliwa kama dhana ya vijana waliothubutu kujiajiri na kupewa cheo...
  5. WAPEKEE_

    SoC04 Magufulication: Mahakama ya ufisadi iwekwe kisheria kulinda mali za umma na uwajibikaji

    Ni kama ndoto ya usiku wa manane, nazishuhudia zile siku nzito zisizosahaulika za kampeni za wabunge na urais mwaka 2015 , namshuhudia Hayati Dkt John Pombe Magufuli, akimwaga sera zake za kuomba kuchaguliwa kuwa rais, ana iahidi Tanzania na ulimwengu kuwa akichaguliwa tu, ataanzisha mahakama...
  6. WAPEKEE_

    SoC04 Ulinzi shirikishi iwe taasisi rasmi ya kijamii kwa ustawi wa ulinzi na usalama kwa jamii

    UTANGULIZI Ili taifa lolote liendelee, suala la Ulinzi na Usalama ni moja ya jambo nyeti na muhimu sana , kwani limebeba dhana ya kimaendeleo kwa kuwalinda wananchi na mali zao pamoja na kudumisha Amani na utulivu katika jamii. Jukumu hili ni la Jeshi la polisi ndio hasa chombo kinachowajibika...
  7. WAPEKEE_

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Elimu ya vyuo vya ufundi iwe lazima kisheria kwa vijana wote wanaoshindwa kuendelea elimu ya juu

    TANZANIA TUITAKAYO : ELIMU YA VYUO VYA UFUNDI IWE LAZIMA KISHERIA KWA VIJANA WOTE WANAOSHINDWA KUENDELEA ELIMU YA JUU. UTANGULIZI. Awali ya yote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, niwapongeze sana jukwaa la JAMII FORUMS, kwa kuanda shindano hili la kibunifu zaidi na lenye...
  8. WAPEKEE_

    ''Vita ya Barafu'' 1939 na fundisho kubwa kwa madikteta

    Asante sana kwa makala nzuri namna hii. Hakika Mimi ni muumini wa simulizi za kweli za namna hii. Big up sana , naomba mwaka huu 2024
  9. WAPEKEE_

    Fei Toto kama Cristiano Ronaldo, ukubwa una vita kubwa

    Kumbe umeshtuka eeenh
  10. WAPEKEE_

    Fei Toto kama Cristiano Ronaldo, ukubwa una vita kubwa

    Vita ya pili ya dunia ilikuwa inaelekea kumalizika na Ujerumani kinara wa vita , ilikuwa dhahiri kwamba wamepoteza vita kilichobaki ilikuwa ni kusalimu amri. Mbaya zaidi , mshirika wao wa karibu , Finland, alikuwa amewasiliti dakika za mwisho wakiwa wamemsaidia kupambana na URUSI, baada ya...
Back
Top Bottom