Recent content by wanyakanyonyi

  1. W

    Naondoka na Slaa kampeni ya CHADEMA Asilia!

    nakubaliana na wewe, hesabu hazikufanyika kisawa sawa. Kwa nini lowasa akatae kumkaribisha lowasa?
  2. W

    Nilitaka kumuoa alikataa, anaomba kuja kuishi kwangu

    Inawezekana una mapungufu akilini mwako. Kama umeshindwa kufanya maamuzi wewe mwenyewe muulize mkeo. Unawezaje kuuliza wanaume wenzako ujinga kama huo. Hapa tunajadili mustakabali wa nchi na siyo upumbavu kama huo wako.
  3. W

    Katiba Mpya: Kisheria, Kura ya Maoni Haitaweza Kufanyika Tena

    Bora upige kura ya HAPANA waichakachue kuliko kuwaachia wafanye wanavyotaka.
  4. W

    Bungeni Escrow - Stanbic Mnyika ahoji usiri/utoroshaji pesa kwenda Austria, S.A na vigogo kutohojiwa

    Stanibic haiwezi kuwataja kwa sababu wahusika ni vigogo. Tusitegemee kuna siku tutawajua kama CCM itaendelea kuwa madarakani. Kwa gharama zozote majina hayo yataendelea kufichwa kwa sababu waliopewa hizo fedha ni wakubwa wa nchi hii.. Na nadhani hata transactions za kutoa hizo fedha...
  5. W

    Njombe: BVR yakwama tena, rushwa yatawala vituoni

    big up. Hicho unachosema ni kweli 100%. Ila unawezakuwa ni mpango wa ccm. Labda swali ni kwamba, ccm wamepanga kuchakachua vipi ili washinde kula ya maoni na uchaguzi ujao kwa mfumo huo wa bvr ambazo haziandikishi wananchi wote
  6. W

    Tahadhari kwa Zitto Kabwe

    Inaonekana unatumiwa na CCM, Kwa nini useme ACT itakuwa tishio kwa CHADEMA? Unatakiwa kujenga hoja. Kwani kuna mashindano ya vyama?
  7. W

    Hotuba ya Zitto Kabwe kuaga rasmi Bungeni - Machi 20, 2015

    Hotuba yako ni nzuri japo imejaa huzuni na nia thabiti ya kuendelea kubaki CHADEMA kama ungepewa fursa hiyo. Umechelewa sana sasa. kama ulitamani kuendelea kubaki CHADEMA ungetafuta suruhu nje ya Mahakama. Naamini utajiunga na chama kingine, nakushauri acha uroho wa madaraka. Soma alama za...
  8. W

    CHADEMA,CCM na Benedict Mutungirehi katika mtihani wa kulipata jimbo la Kyerwa

    Mutungirehi ni traitor. alitusaliti tukiwa Udsm hivyo hafai kuwa mbuge kupitia ukawa. hatufai kwa mapambano ya dhati, aende CCM.
  9. W

    Dr Slaa alaani kupigwa, kuteswa na kukamatwa Professor Lipumba

    Nina wasiwasi kama una akili timamu. Hayo siyo maneneo ya kuongea mbele ya umma wa Watanzania. Kama huna hoja bora ukae kimya kuliko kubwabwaja.
  10. W

    Kwanini Wananchi walimkataa na watamkataa Slaa

    Upo ushahidi wa kutosha kwamba mwaka 2010 Dr Slaa alishinda Uraisi akachakachuliwa. Kuna uhakika 100% mwaka huu Dr Slaa atashinda uraisi maana CCM hakuna mtu wa kupambana naye kama yupo atajwe tumjue. Kwa hiyo ni ukweli usiopingika kwamba Dr Slaa anakubalika nchi nzima.
  11. W

    Dr. Mwakyembe kukubali serikali mbili alikana kitabu chake mwenyewe

    Usicheze na Pesa wewe. Inaweza kubadili mawazo, hisia na maamuzi yoyote uliyonayo. Ila kumbuka tu, dhambi hiyo itakutafuna mpaka siku ya mwisho.
  12. W

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Huo ni ukweli usiopingika. Naomba walio na matokeo watupe idadi ya kura za CCM na za Ukawa/Chadema ukiacha sehemu ambazo CCM wamejipitisha bila kupingwa.
Back
Top Bottom