asilimia kubwa humu wanajifanya ni wakosoaji wakuu wa mh raisi....na hii inanipa picha kuwa umasikini wetu uko akilini mwetu...watanzania wengi hatujui hata kutambua raisi bora...tunakuwa kama watoto wadogo kwamba mzazi mpole ndo mzazi mzuri..lakini mzazi akiwa mkali basi ndo hafai...hata kama...
yaani kiufupi wamemnyima haki yake....pia naona uende ukaripoti tcu naamini watakusaidia..yaani mh ndalichako akisikia hiyo ishu..atafukuza wahusika wote...kwa maana huo ni utapeli.
unajua huu mfumo unafanya hadi sisi wa education ambao tumepata multiple selection tusipate mkopo...yaani code wamechelewesha halafu bila kujali bodi ya mikopo ikawapa wale waliopata single selection matokeo yake wale wa priority courses waliochaguliwa multiple wanakosa mkopo kwa kukosa...
wema ana ugonjwa wa kutafuta attention za watu....anapenda sana jinsi mimi na wewe tunavyoacha kazi zetu na kuanza kutype jina lake...ndo furaha yake hiyo...mbona wadada wanaojiheshimu kama lady jay dee hawana mambo hayo? na wanaishi vizuri...yani watoto wa kike wengi wamezidi kuharibikiwa...
huenda zitto anatafuta kiki za kisiasa....kwa maana niliona hata kwenye swala la mo alijifanya mjuaji na mkosoaji mkuu,,,naona kama siasa alizozizoea zinafeli kwenye awamu hii ya tano....maana hoja zake si za msingi...ni kubwabwaja tu!...namshauri ahakikishe kila anachokiongea kisije kikamgeukia...
ATAKAYEPEWA OPERATION YA KUMSAKA M.O NINGEPENDA KWANZA APEWE KAZI YA KUTAFUTA SHILINGI HAMSINI ITAKAYOKUWA IMEFICHWA KWENYE NYUMBA...NA ASITOE KITU HATA KIMOJA KUKIPELEKA NJE YA NYUMBA KWA MAANA WAKATI ANAMSAKA MO HATOWEZA KUWATOA WANANCHI WA TZ NA KUWAPELEKA NCHI JIRANI......NI MTAZAMO TU
hivi mtu akiamua kuficha shilingi ndani ya nyumba akakwambia uitafute....unadhani ni kazi rahisi kuipata???....we need minds...kwenye hili swala la M.O...tunahitaji watu wenye akili za hali ya juu...na tukifanya mchezo tunaweza tusimpate na ikabakii historia...!...kuomba msaada kwenye nchi...
mkuu kushinda magoli mengi kwa kichwa ni sifa nzuri pia kwa mshambuliji lakini mbona wewe unaifanya iwe ni sifa mbaya tena?....nisaidie mkuu ulitaka aweje?
kazi yake ni kufunga....kwan wewe ulitaka kiwango gani mkuu?...achambue watu kama messi au?
au awe anapiga vibaiskeli?.....mchezaj mzur hapimwi kwa baskeli....tunaangalia uwezo wake wa kufunga....maswala ya ladha sio lazima na ni ushamba....magoli ndio yanaweka recodi nzuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.