Hakims kitu kibaya kama MTU hana Uhuru wa kifikira na kusema ukweli ,askofu kusema ,sasa anaona maisha ni mazuri kuliko nyuma Kwa mifano ya nauli za ndege ,kuna sababu ya kuendelea kumsikiliza kama kiongozi wa dini.
Si vizuri MTU Kuleta hoja isiyo na mashiko na kuleta mambo bila uthibitisho .Mleta ma da angetaja aina ya pombe anayotumia na najina ya wanawake na wao kuthibitisha Kwa mahojiano kituo cha redio.Huyu bwana ananjaa ! Sina uhakika ni ya nini?
Mtandao huu ni was kupashana habari nzuri na kufundisha mambo mbalimbali,wapendwa wachangiaji wanaopenda siasa wananiboa sana,matusi na kejeri acheni kabisa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.