Mie nilishtuka sana hiii kauli ya watu wa kujitolea inakaziwa ,,mbali na hapo taasisi za kiserikali zijiendeshe zenyewe,,,, yaaani hizi kauli kwa watoto masikini ni kama kuwafukuza na kuwabakizia nafasi za LGAs ila nafasi nzuri nzuri wanaenda kwa kujuana ....Wanasiasa Wanatafuta sehem,wakipiga...