Kumekuwa na taarifa zikiripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari ya kwamba mfuko wa bima ya afya kukumbwa na changamoto mbalimbali za ukwasi, na hii inadhihirishwa na NHIF wenyewe walivyokuja na mwongozo kwa wanufaika wa idadi ya siku za kwenda kupata matibabu kwa mwezi na baada ya siku chache...
Kwenye hili suala la Bima ya Afya serikali ije na mfumo ambao mgonjwa akishapata matibabu hasa hawa wagonjwa wa OPD zile sms zinazotumwa kwenye simu zioneshe na mchanganuo/ gharama ya matibabu ya ugonjwa husika, hizi hospitali binafsi wamekuwa wagumu sana kujaza gharama kwenye zile sheet
Nimeanza hatua za awali za maombi ya mkopo na nimepata control number na kufanya malipo lakini hadi sasa sijaweza kuendelea na hatua zinazofuata, kila nikijaribu ku relod inagoma.
Habari wadau,
Naomba aliyefanikiwa ku upload file la nida kwenye mfumo wa maombi ya mkopo maana nimejaribu zaidi ya mara tatu inanigomea , au kuna sehemu nakosea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.