Jamani kwa utaratibu wa TRA unafanya kazi zake mnawezaje kukua kibiashara mbona wafanya biashara wengi tukijaribu kufanya biashara tra ndo ya kwanza kuwarudisha nyuma.
Makadiria makubwa fine za mara kwa mara mtu hauko hata VAT unaambiwa ulete hesabu za 2020 na hii ni 2024 list wiki mbili tu...
Nimeandika toleo hile lengo tutanuane kimawazo
1.UTT AMIS ni mfuko wa uwekezaji ambao unapata gawio la kila mwezi makadirio 400,000/= mfuko wa bondfund
-hakuna chochote cha kusimamia wala malalamiko ya kutatua kama migogoro ya wapangaji
2.NYUMBA ni uwekezaji mzuri sana kama ukipata sehemu...
Boss iyo ni faida kubwa sana kwenye biashara kama utaweza fungua account ya fixed au UTT uwe unaweka nusu ya faida yako angalau mwisho wa mwaka ukiisha utafunga hesabu mtaji uko pale pale ila kwenye account ya faida kuna mzigo upo
Anagalizo kuna baadhi ya biashara na mikoa baadhi ukifanya...
Wadau wenzangu ninatatizo limekuta mwenye uelewa naomba anisadie nina duka lipo mjini mwanza linafanya biashara ya rejareja, Juzi nimepigiwa simu TRA mwanza kwamba ninadaiwa kodi nikaombwa nitumiwe contor namba maana huwa sepindi vipengere na selikari makodilio niliofanya mwenyewe 03/03/2023...
Kwa upande wangu mimi naona wewe ndio tatizo huwez kwenda kwenye mkoa mwingine bila kuja taratibu zao hasa kama waha kwa ufahamu wangu mimi na hili ni kabila langu wewe kwenda ukwen kijipatanishia mahari ya mkeo ni kosa na dharau kwa ile kwamba unaona wote ni watoto na sidhani kama kuna mkoa...
Hii kazi ya laana sana kwenda kuitoa familia ya mtu ndani bila huruma ili wewe upate ridhiki machozi ya mama baba mtu mzima anakulilia kama mtoto ni hatari mkuu tafuta wazo jingine sio apo ulipo hawajiliona hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.