Recent content by Wanama

  1. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Kitu ulichokiandika ata wewe sidhani kama unaweza kukielewa. Naomba ufafanuzi wa ichi ulichokiandika.
  2. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Dunia inakuadhibu kulingana na makosa yako, sisi hatupo responsible kwa makosa ya mwingne maana pia sisi tutaadhibiwa kwa makosa yetu ivyo tusinyooshewe vidole kabisa.
  3. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Wa kulaumiwa sio washambazaji wengine na kumuona mdada uyo na mtu wa kwanza either boyfriend wake alopost kwamba ndo victim na hawastahili lawama ,hao ndo watu wa kuwalaumu ila ilishafika public huwezi kunilaumu mimi kuisambaza.
  4. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Ni kweli kabisa ila mbaya zaidi mtu ambaye unaona kabisa hawezi fanya kitendo kama icho ndo mara nyingi wanakudissapoint. Anyway mimi binafsi siwezi sambaza video ya mtu ya utupu ata kama kanikosea nini ila iyo inayosambaa mitandaon huwa sio kazi ngumu na ww kushare na mtu wako wa karibu.
  5. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Hoja yako ni nin?, kila siku watu wanadhalilishwa kwa picha za utupu ila bado mtu anatuma na kujirekodi anaexpect nin?. Kupost sio jambo zuri na linatakiwa kukemewa sana ila tusimchukulie aliyejirekodi ama aliyeruhusu kurekodiwa kama yeye ndo msafi na aliyesambaza kwamba ndo mbaya.
  6. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Kwenye kuangalia watu wa kudate nao sizani kuna njia ya kulitambua ilo mpk ikufike, maana watu hawana alama kwanba uyu ataweza kuja kufanya kitu cha ajabu kama icho.
  7. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Hamna mkamilifu duniani, kwani iyo video ina nin naomba share pia nione🙏
  8. Wanama

    Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Ata hao wanaoshare pia wanafanya makosa hamna aliye mkamilifu, uyo dada alikubali kujirekodi na kurekodiwa nae ni mjinga wa hali ya juu. Wote wamefanya makosa dada na wanaopost sababu wote sio wakamilifu ivo usimnyooshee yyte mkono sababu wote sio wakamilifu. Naomba video dm 🙏
  9. Wanama

    Kwenye uzi huu nitakupa updates ya luxurious street & casual wear aina zote

    Details za izi na bei. Bei uziweke apa tukielewana nitakufata whatsup
  10. Wanama

    Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Apo yeye mwenyewe haamini kama Tonny Kapola kapuliza mtungi wa gesi ila anataka tuamini Yona alimezwa na Samaki
  11. Wanama

    Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Mimi unaniulza tena? Mm sikubali kila kitu kama ndo maan nmekuambia kweny biblia tunahaswa kutumia akili zetu sio kuamini kila kitu na nikakupa na mifano sasa sijaelewa mantiki yako ya kuniulza tena swali mimi. Kuhusu swali lako wa israel kupewa upekee ni kwamba biblia ni story zao na ndo...
  12. Wanama

    Nashindwa kuelewa tukio hili ambalo nimekutana nao

    Energy ipi iyo ndogo anatumia maana kule chini bila oxygen mtu anatumia dakk 3-10 anakosa hewa kabisa na kufariki maan ata akipumua kidgo sana pia anatengeneza carbon, na ninavojua misiba nyingi ya kiafrika hamna msiba watu wanakaa siku moja ni zaid ya week.
  13. Wanama

    Tunatafuta ndugu zake, mgonjwa alifikishwa MOI, Machi 01, 2026

    Unatumia tu common sense kila kitu sio lazima kielezwe na kama wangekuwa na maeelezo ayo wasingetoa Tangazo ilo.
  14. Wanama

    Tunatafuta ndugu zake, mgonjwa alifikishwa MOI, Machi 01, 2026

    Ushawai kaa mazingira ya hospital ata kidgo hasa apo Muhimbili?. Kuna watu wanapelekwa hospital baada ya kupata ajali ata wao wenyewe hawajielewi ivyo wanapewa huduma tu wakitumaini akipona atatoa taarifa zake sas wengne ndo wanaishia kupoteza kumbukumbu kama uyo.
Back
Top Bottom