Recent content by Wanama

  1. Wanama

    JamiiForums Tanzania Ukiondoa haya, hakuna usabato

    Mungu wa Torati? Vp Mungu wa Agano jipya yeye?
  2. Wanama

    JamiiForums Tanzania Nashauri mchakato wa katiba mpya uanze 2030s kwasasa tujenge kwanza uchumi wetu otherwise ni kuchezea hela

    No offense but najaribugi kuwaza ni kwamba unapoandika mambo kama aya ni raigbait ama ni kweli unamaanisha, na kwamba waafrika ndo huwa hatuna akili kiasi ichi ?. Ninyi pamoja na wengine kama wewe huwa mnanipa sana maswali maana ata nikiwa mjinga sidhani nitawai kuwa extreme kiasi ichi ama...
  3. Wanama

    JamiiForums Tanzania Nashauri mchakato wa katiba mpya uanze 2030s kwasasa tujenge kwanza uchumi wetu otherwise ni kuchezea hela

    Katiba mpya inazuiaje maendeleo na ajira kwa vijana?
  4. Wanama

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    Umeelezea vita kwa mrengo wa siasa na kipropaganda ila vita ya israel na waarabu hawa ni survival ( ambapo israel anafanyanya any means kusurvive ikibidi ata kueliminate maadui zake ambao wamemzunguka kila sehemu). Hii ndo natives wengi wanasema ivo ukiingia kweny sub zao (reddit).
  5. Wanama

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    Palestina haijanyang'anywa ardhi yao, ishu ilikuwa ni kipindi cha ukoloni kabla ya wayahudi kwenda kuna mabadiliko yalifanywa na waingereza kuhusu umiliki wa ardhi ambapo kila mmoja alipaswa kujisajili kwenye ardhi, ila wengi wa wapelestina hawakufanya ivo maana hawakuwa wakijua umuhimu wake...
  6. Wanama

    JamiiForums Tanzania Je, MUNGU ni mwizi?

    A bad thing cant be good in anyway, by the way it eventually caused harm to Adam and all of Adam descendats
  7. Wanama

    JamiiForums Tanzania Je, MUNGU ni mwizi?

    Doing bad thing in a good way doesnt make it right.
  8. Wanama

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kuwalazimisha watoto wa Watu kwenda JKT!

    Kwaio wewe watoto wako wakivaa pensi nyumbani huwa unawabaka na kuwalawiti sababu wanakuchochea??
  9. Wanama

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kuwalazimisha watoto wa Watu kwenda JKT!

    Jamaa hana akili ata kidogo, yaani umbake mtu kisa ni slayqueen ama anaringa.
  10. Wanama

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kuwalazimisha watoto wa Watu kwenda JKT!

    Maisha aliyoamua kuishi sidhani mwanachuo kuwa slayqueen kunamdhuru mtu yoyote, kwaiyo yeye kuwa slayqueen ama kuringa ndo justification ya yeye kubakwa ama kuwa sexual harrased??
  11. Wanama

    JamiiForums Tanzania Hatari ya kuwalazimisha watoto wa Watu kwenda JKT!

    Kumbe na wewe mtibeli kuna mda unakuwa hauna akili?.. Uslay queen ama mtu kuringa ndo inabidi anyanyaswe kingono?
  12. Wanama

    JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Kitu ulichokiandika ata wewe sidhani kama unaweza kukielewa. Naomba ufafanuzi wa ichi ulichokiandika.
  13. Wanama

    JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Dunia inakuadhibu kulingana na makosa yako, sisi hatupo responsible kwa makosa ya mwingne maana pia sisi tutaadhibiwa kwa makosa yetu ivyo tusinyooshewe vidole kabisa.
  14. Wanama

    JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Wa kulaumiwa sio washambazaji wengine na kumuona mdada uyo na mtu wa kwanza either boyfriend wake alopost kwamba ndo victim na hawastahili lawama ,hao ndo watu wa kuwalaumu ila ilishafika public huwezi kunilaumu mimi kuisambaza.
  15. Wanama

    JamiiForums Tanzania Kwanini usambaze picha za utupu za mtu, na wengine mnashiriki kusambaza hizo picha! Je, angekuwa nduguyo ungejisikiaje?

    Ni kweli kabisa ila mbaya zaidi mtu ambaye unaona kabisa hawezi fanya kitendo kama icho ndo mara nyingi wanakudissapoint. Anyway mimi binafsi siwezi sambaza video ya mtu ya utupu ata kama kanikosea nini ila iyo inayosambaa mitandaon huwa sio kazi ngumu na ww kushare na mtu wako wa karibu.
Back
Top Bottom