Dunia inakuadhibu kulingana na makosa yako, sisi hatupo responsible kwa makosa ya mwingne maana pia sisi tutaadhibiwa kwa makosa yetu ivyo tusinyooshewe vidole kabisa.
Wa kulaumiwa sio washambazaji wengine na kumuona mdada uyo na mtu wa kwanza either boyfriend wake alopost kwamba ndo victim na hawastahili lawama ,hao ndo watu wa kuwalaumu ila ilishafika public huwezi kunilaumu mimi kuisambaza.
Ni kweli kabisa ila mbaya zaidi mtu ambaye unaona kabisa hawezi fanya kitendo kama icho ndo mara nyingi wanakudissapoint. Anyway mimi binafsi siwezi sambaza video ya mtu ya utupu ata kama kanikosea nini ila iyo inayosambaa mitandaon huwa sio kazi ngumu na ww kushare na mtu wako wa karibu.
Hoja yako ni nin?, kila siku watu wanadhalilishwa kwa picha za utupu ila bado mtu anatuma na kujirekodi anaexpect nin?.
Kupost sio jambo zuri na linatakiwa kukemewa sana ila tusimchukulie aliyejirekodi ama aliyeruhusu kurekodiwa kama yeye ndo msafi na aliyesambaza kwamba ndo mbaya.
Kwenye kuangalia watu wa kudate nao sizani kuna njia ya kulitambua ilo mpk ikufike, maana watu hawana alama kwanba uyu ataweza kuja kufanya kitu cha ajabu kama icho.
Ata hao wanaoshare pia wanafanya makosa hamna aliye mkamilifu, uyo dada alikubali kujirekodi na kurekodiwa nae ni mjinga wa hali ya juu.
Wote wamefanya makosa dada na wanaopost sababu wote sio wakamilifu ivo usimnyooshee yyte mkono sababu wote sio wakamilifu.
Naomba video dm 🙏
Mimi unaniulza tena? Mm sikubali kila kitu kama ndo maan nmekuambia kweny biblia tunahaswa kutumia akili zetu sio kuamini kila kitu na nikakupa na mifano sasa sijaelewa mantiki yako ya kuniulza tena swali mimi.
Kuhusu swali lako wa israel kupewa upekee ni kwamba biblia ni story zao na ndo...
Energy ipi iyo ndogo anatumia maana kule chini bila oxygen mtu anatumia dakk 3-10 anakosa hewa kabisa na kufariki maan ata akipumua kidgo sana pia anatengeneza carbon, na ninavojua misiba nyingi ya kiafrika hamna msiba watu wanakaa siku moja ni zaid ya week.
Ushawai kaa mazingira ya hospital ata kidgo hasa apo Muhimbili?.
Kuna watu wanapelekwa hospital baada ya kupata ajali ata wao wenyewe hawajielewi ivyo wanapewa huduma tu wakitumaini akipona atatoa taarifa zake sas wengne ndo wanaishia kupoteza kumbukumbu kama uyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.