*MKUU WA MKOA WA ARUSHA Mrisho Gambo AMBAYE NI MTEULE WA RAISI AZUIA MBUNGE LEMA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA ENEO LA UJENZI WA HOSPITALI YA MAMA NA WATOTO JIJINI ARUSHA*
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mrisho Gambo azuia Mbunge Godbless Lema kuweka jiwe lamsingi katika eneo litakalojengwa...
cjajua mtoa mada kazingatia wingi wa zana za kijeshi ama nini. nimefanikiwa kukaa darfur ulinzi wa aman miaka miwili,hakuna jeshi la hovyo kama la nigeria,walikuwa wakivamiwa mara kwa mara na waasi wa sudan na wananyang-anywa silaha. Tanzania tunaheshimiwa na kuogopwa sana hata wale askari wetu...
hiyo ni haki ya mbunge jaman someni hii kidogo ambayo ni amari ya kudumu ya jeshi la polisi (POLICE GENERAL ORDER NO 102)
<!--[if gte mso 9]><xml> <w:WordDocument> <w:View>Normal</w:View> <w:Zoom>0</w:Zoom> <w:TrackMoves/> <w:TrackFormatting/> <w:PunctuationKerning/>...
Ni kweli huyo mama alifariki na mumewe amekatwa na mapanga na yeye kafariki kwa imani za kishirikina! Mtoa mada amekiri mwenyewe kuwa taarifa kapewa na mwenyekiti wa chadema kijiji cha kwaga,its just hearsay evidence which is inadmissible before court of law!Tumekuwa kila siku tukiwalaumu police...
Askari polisi wawili koplo peter na konstebo sunday simon wamefikishwa mahakama ya wilaya ya kasulu na kusomewa mashitka yao ya mauaji.
Hii imefuatia leo baada ya kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma ACP Fresser Kashai kuwafukuza kazi askari hao. Mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya...
hajapanda cheo ila amepandishwa madaraka amekuwa afisa mnadhimu wa mkoa wa arusha yaan staff officer,si kwamba ndiye msemaji wa polisi kimkoa,msemaji ni KAMANDA WA POLISI MKOA
mwema ana staafu rasmi mwakani na amesema hataki kuongeza mkataba kwani mara nyingi huwa ma IGP wana staafu pamoja na rais,ili rais ajaye aje na safu yake mpya ya uongozi,hataki kuongeza hata sekunde moja! Naona anakimbia mziki wa 2015!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.