Nimefuatilia mijadala ya hii kinga iliyozinduliwa juzi sasa sijaelewa je wale ambao wanaishi na virus vya h. I. V je wao watajisikiaje na je kuna dawa imepatikana juu yao au laa?
Bia ukinywa mbili tatu hazina shida mradi usiwe mlevi sana ukasahau muda wa dawa pia kwenye side efect kila kitu kina madhara hata vyakula pia unaweza ukawa hutumii hizo arvs ukawa mlaji mbovu wa mavyakula na unywaji pombe kali kali pia ukapata ugonjwa wa moyo ,na figo kufel pia kuna ambao...
Upo vizur mkuu na utaishi maika mingi kwanza umeanza dozi ukiwa cd4 hazijashuka tofauti na hawa waoga kupima alafu cd4 zinashuka mpaka 100 yupo hoi kitandani tb ishamtandika,kashadhohofuu sasa hapa akiambiwa ana ngoma kwa mawazo anadhohofika zaidi,na kukata tamaa hapa mpaka cd4 zipande si mchezo...
Natumaini mu wazima humu,
Nilianza mapenzi na dada mmoja nikiwa kikazi mkoani Dodoma, kiukweli huyu dada tulipendana sana alikua kichaa wa mapenzi kwa jinsi tulivyopendana alikua hasikii wala kushikika, kila siku alitoroka kwao na kuja kulala kwangu nilipagawisha zaidi baada ya kumpa penzi hii...
Ukizungumzia mitungi hakuna wanaokunywa tungi kama moshi na arusha na kwa baridi moshi arusha ipo ya kufa mkuu sema hawajui kukataa alafu.magomvi mengi sana hawatahiriwi hawa viumbe
Kumeibuka wimbi na vijana masharobaro kupaka rangi kucha na kuwaosha miguu wanawake zetu hii inapelekea kuchochea kuwatega wanawake maana wanalegea sana nakusisimka wanaposuguliwa miguu.
Mimi siku nikimkuta muosha miguu au mpaka rangi kucha kwangu namtoa na mbata ya kufa mtu ukipita mitaa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.