Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,043
Nahisi kama From Sir With Love na Deception ni mtu mmoja...!!!
Samahani lakini...Tuendelee na mjadala..!
Samahani lakini...Tuendelee na mjadala..!
Pilau unalitia mchangaNahisi kama From Sir With Love na Deception ni mtu mmoja...!!!
Samahani lakini...Tuendelee na mjadala..!
Alichoka kutumia kwa madaibyake na hakuwa na kampani ya kumsisitizia kutoka kwa watu wake wa karibu.kwa nini aliacha huyu mgonjwa mkuu alikosa dawa au washauri?
Aisee leo Ndio nimethibitisha kile nilichokua na doubt nacho, ahsante mkuu deception kwa elimu murua kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona mkuu unafufua ka mjadala tenaDeception
Nimekumbuka fujo zakeNaona mkuu unafufua ka mjadala tena
Zaidi ya mwaka sasa tangu huu mjadala usimame...!Naona mkuu unafufua ka mjadala tena
Hahahaaaa umeanza! Mtoa mada ameuliza kuna aliyemuamini? Sio kama Deception yu hai au kafa. So jifunze kuwa makini maishaniMkuu mbona deception alishakufa kitambo alikua ameadhirika na ngoma ni mwaka unaisha sasa
Doh jamaa kawahi nafasi pande za peponiMkuu mbona deception alishakufa kitambo alikua ameadhirika na ngoma ni mwaka unaisha sasa
Haaaaaa alipotosha sana raiaDoh jamaa kawahi nafasi pande za peponi
Jamaa kilichomuua ni hofu na kutokukubali hali halisi,nilizaliwa na Ukimwi lakini ukiniona hata kunihisi huwezikwa nini unahisi yule jamaa alikufa fasta na kl 5 na yule Dem yupo mpaka leo?
Sio sababu mkuu, ukijikubali tu na kuwa na amani moyoni tu,ni kinga tayari Arv ni kama booster inayochangia usipate magonjwa nyemelezi mara kwa mara,nilizaliwa na Ukimwi na Arv nimeanza kutumia 2016 mkuu,cha msingi ni kujikubali tuKwasababu Demu Anatumia ARVs