Hilo la kuzaa linafahamika na alizaa kabla hata hajaingia kwenye huduma kisa uaskofu mkuu ndio huyo mnyakyusa akaamua kutumia kick ya kuzaa(uzinzi)ili kumchafua .Huyo mnyakyusa hakuna kiongozi wizara ya mambo ya ndani ya nchi kitengo cha usajili wa madhehebu ambaye hajala hela zake amehonga sana...
Huyo Mnyakyusa askofu mkuu kahonga pesa nyingi sana ofisi ya msajili wa madhehebu ya dini fuatilia kwa nn yule mama msajili alisimamishwa?sababu ni rushwa alizopewa na huyo mnyakyusa mikono yake imejaa rushwa tupu
Huyo askofu mnayemsema ni mskuma alizaa nje ya ndoa zamani sana hata kabla hajaingia kanisani kwenye utumishi sema Dr.Brown Mwakipesile kamwaga pesa ili kumchafua huyo msukuma kwa vile ni threat kwake kwa kifupi mikono ya Mwakipesile inanuka na imejaa rushwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.