Recent content by wamkaya

  1. W

    TAKUKURU: Askofu na Viongozi Wakuu wa Kanisa la Avengelical assembless of God (EAGT) wachungunzwa kwa rushwa

    Hilo la kuzaa linafahamika na alizaa kabla hata hajaingia kwenye huduma kisa uaskofu mkuu ndio huyo mnyakyusa akaamua kutumia kick ya kuzaa(uzinzi)ili kumchafua .Huyo mnyakyusa hakuna kiongozi wizara ya mambo ya ndani ya nchi kitengo cha usajili wa madhehebu ambaye hajala hela zake amehonga sana...
  2. W

    TAKUKURU: Askofu na Viongozi Wakuu wa Kanisa la Avengelical assembless of God (EAGT) wachungunzwa kwa rushwa

    Huyo Mnyakyusa askofu mkuu kahonga pesa nyingi sana ofisi ya msajili wa madhehebu ya dini fuatilia kwa nn yule mama msajili alisimamishwa?sababu ni rushwa alizopewa na huyo mnyakyusa mikono yake imejaa rushwa tupu
  3. W

    TAKUKURU: Askofu na Viongozi Wakuu wa Kanisa la Avengelical assembless of God (EAGT) wachungunzwa kwa rushwa

    Huyo askofu mnayemsema ni mskuma alizaa nje ya ndoa zamani sana hata kabla hajaingia kanisani kwenye utumishi sema Dr.Brown Mwakipesile kamwaga pesa ili kumchafua huyo msukuma kwa vile ni threat kwake kwa kifupi mikono ya Mwakipesile inanuka na imejaa rushwa
  4. W

    Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

    Hahaaaaa sisi tutampokea tu na ufisadi wake hata kama alipandisha twiga kwenye ndege sisi tutampokea tu tunasabuni ya kusafisha mafisadi
  5. W

    Nyalandu: CCM imeingiliwa na watu wenye roho mbaya

    Wajanja wa madaraka walk up kind nani
  6. W

    Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?

    Vijana wengi? Hiyo research umeifanyia wp ukajua ni wengi? Yani wavuta bange wa Bavicha ndo unaweza kusema vijana wengi wa tanzania?
  7. W

    Mwakyembe amteua Albert Msando kuwa Mjumbe wa kamati ya kupitia sheria ya hakimiliki

    Huyu albert Msando ndo alive if eroding akichezea MBUNYE ya Gigy money?
  8. W

    CHADEMA na Mmomonyoko Maadili

    Saccos
Back
Top Bottom