kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,078
- 15,924
Na ndio maana dj M alitengeneza hiyo sinema ili iwe agenda!
Ameyafanya mengi yenye mafanikio unayazungumzia hayo?
Yataje!Ameyafanya mengi yenye mafanikio unayazungumzia hayo?
Unajidanganya. Sakata la Lissu kutukanana na serkali; hadi kukamatwa kwa bombadier; na sakata la Acacia; ndiyo mambo yatakayozugumzwa. Majambazi wa Sitakisheri, Nzega, Tundulisu na Kibiti hatatasikika sana kwa kuwa ni ya kipolisi, mspolisi hawapigiwi kura wala kuomba ubunge.Bila Shaka Lisu atatawala vinywa vya wagombea wote Katika majukwaa ya kisiasa Katika Chaguzi zote zitakazofuata hasa hasa kwa wanasiasa toka vyama vya upinzani.
Wanasiasa toka vyama vya Upinzani hawataepuka kumfanya lisu kama agenda Yao kuu; kila jambo litalazimishwa kumezwa na hoja yake.
Sasa kwakua tumeshajua angalau nini tutegemee kusikia toka kwa wanasiasa wa upinzani sio vibaya kujua ni agenda ipi imebakia kwa upinzani kusimama nayo Hiyo ni baada ya kila agenda kufunikwa kwa utendaji mzuri wa Serikali ya awamu ya tano.
Na ndio maana dj M alitengeneza hiyo sinema ili iwe agenda!
Bila Shaka Lisu atatawala vinywa vya wagombea wote Katika majukwaa ya kisiasa Katika Chaguzi zote zitakazofuata hasa hasa kwa wanasiasa toka vyama vya upinzani.
Wanasiasa toka vyama vya Upinzani hawataepuka kumfanya lisu kama agenda Yao kuu; kila jambo litalazimishwa kumezwa na hoja yake.
Sasa kwakua tumeshajua angalau nini tutegemee kusikia toka kwa wanasiasa wa upinzani sio vibaya kujua ni agenda ipi imebakia kwa upinzani kusimama nayo Hiyo ni baada ya kila agenda kufunikwa kwa utendaji mzuri wa Serikali ya awamu ya tano.
Ameyafanya mengi yenye mafanikio unayazungumzia hayo?
Bunge live!Aina ya wapinzani wetu hawapatikani popote pale dunianiSasa kwakua tumeshajua angalau nini tutegemee kusikia toka kwa wanasiasa wa upinzani sio vibaya kujua ni agenda ipi imebakia kwa upinzani kusimama nayo Hiyo ni baada ya kila agenda kufunikwa kwa utendaji mzuri wa Serikali ya awamu ya tano.