Ugumu unaanzia pale unapotakiwa ukapange foleni huko maofisini wafanye namna hata kulipia kwa njia ya mtandao watu wengine wako mbali wengine majukumu yanabana
Mbona wakati wajiwe waraka zilitoka mara mbili kipindi cha watu kupotea na cha korona alafu mbona walishakwenda ikulu na wakatoa maoni yao na yakapuuzwa ndio hapo kkafikia hatua ya kutoa waraka
Habari za muda huu wa JF members, kama kichwa cha habari kinavyojielezea hapo juu kama kuna mtu anaufahamu wa tatizo hilo au naweza pata wapi sehemu wanaohusika na customer care wa vifaa vya sony kwa hapa dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.