Recent content by Wamifano

  1. W

    Peremende zenye bangi zauzwa mitaani

    Ni kweli ungevitaja majina mkuu ili tahadhar ichukuliwe mapema
  2. W

    Unaikumbuka sababu ya kuachana na mpenzi wako?

    Hata kama yamepita siwezi teenaaaaa kurud mapenzini
  3. W

    Cheka upasue mbavu

    Nimependa MKUU nimecheka saana!bakora 2015
  4. W

    Unaikumbuka sababu ya kuachana na mpenzi wako?

    Moyo unauma na machozi hudhihirisha kwa njee,sitaki kukumbuka tenaaa maumivu ya mapenzi
  5. W

    Hivi wanawake mnanini?

    Tuacheni tufanye hivyo coz wanaume wengine bila ya kuwaonyesha uchi hawategeki
  6. W

    Msaada: Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

    Wapo wengi pia waliokua wakiongea kama ww,anyway tusibez saana nenda hospitali mapema uliwah hilo tatizo kabla halijaota mizizi
  7. W

    Msaada: Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

    Au unajini Mahaba ambalo linataka lifanye na ww tu ,akiona umekutana na mwenzio anakuletea maumivu,
  8. W

    Biashara ya salon za kiume na kike

    Au nitafute p.m nikupe maelezo coz hata mm ninayo nzuri ya kisasa
  9. W

    Biashara ya salon za kiume na kike

    Kwa mm nijuavyo MKUU ni HV mashine 1 sh 35000 kiti kimoja 200000 vioo futi tano kwa tano ni 32000 capate mita moja ni 3000 TV ni 130000
  10. W

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Zaidi pia upate kibali kutoka kw TFDA,(mamlaka ya dawa na chakulA
  11. W

    Ajira upande wa afya

    Wakuu hivyo vyuo wanavyosomea afya ya mwaka mmoja ni vingi sana kama VP nitafute p.m
  12. W

    Nahisi nimeambukizwa HIV, Ushauri please

    nenda kapime ukiwa nao nitafute pm nikupe dawa
Back
Top Bottom