Recent content by WAMGANDA

  1. W

    JamiiForums Tanzania MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

    Asante kwa kunisahihisha. Kumbuka sijatumia kalamu kuandika na pengine ujumbe umeuelewa ndiyo maana umeweza hata kunisahihisha. Nakubali kukosolewa, asante mkuu!
  2. W

    JamiiForums Tanzania MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

    Hayo ni mawazo yako, nayaheshimu sana!
  3. W

    JamiiForums Tanzania MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

    Thanks! Typing error.
  4. W

    JamiiForums Tanzania MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

    Ndiyo! kuwa mwanasaikolojia siyo utoshelevu wa kila kitu. Kama una cha kunishauri karibu sana! Napenda sana kushauriwa. Asante
  5. W

    JamiiForums Tanzania MWANASAIKOLOJIA ANAPATIKANA HAPA!

    Wakuu amani kwenu! Kama title ilinavyodadavua, Mimi ni kijana wa miaka 28 (me) Nina shahada ya Elimu ya Saikolojia (hons) ya udsm. Nimewahi kufundisha part time Tabota TTC, Ekernforde Tanga University, na sekondari kadhaa. Bila kuwachosha naomba niweke wazi lengo la nandiko hili ni kuomba MTU...
  6. W

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Kuanzisha Jukwaa la Psychology na Philosophy

    Kwa sisi wabobezi ktk philosophy na psychology tutawajuza mengiii!!!!!!!
  7. W

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Ushetu - Kahama wastaafu wanaonewa sana

    Kama title inavyosomeka, katika halmashauri ya Ushetu iliyoko ndani ya Wilaya ya Kahama Wastaafu wa kada mbalimbali wamejikuta wako matatani kwa mtindo ufuatao: Baada ya kusitafu almost wote waliendelea kuingiziwa mishahara kama kawa. Kutokana na kucheleweshewa Malipo yao ya Pensheni walidhani...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Mtihani wa taifa zima

    MTIHANI WA URAIA. Instructions. 1. Jibu maswali yote. 2. Povu haliruhusiwi kwenye chumba cha mtihani. 3. Hisia za aina yoyote hazitakiwi. SERIKALI YA CCM IMEISHIWA PUMZI???: Si maneno yangu bali Ni maneno ya aliyekuwa kada nguli wa CCM, mzee Kingunge Ngombare Mwiru aliyoyasema siku alipoamua...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Njia ya uhakika kabisa ya kuacha punyeto na kurudisha kadi ya chaputa ni kuoa
Back
Top Bottom