Naposema haina jipya ukisikiliza waliotia nia wanaikoso selikali wanasahau kuwa wote walikuwa kwenye mfumo huo kwahiyo huu ulikuwa sio mda wakutoa ahadi walikuwa wanatakiwa kutuonyesha walicho tufanyia ila wote wanalalamika hii inachangiwa na mfumo wao
Kwasababu nihaki ya kikatiba kila mtu kugombea ila nafasi yake ni ndogo kushinda kwenye kura za maoni kunawatu wameangaika kukijenga chama yeye alikuwa anajenga act
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.