Chambiri ni mkurya aliwatukana wapiga kura wa Tarime akakimbilia Babati.
Umeona enhee? Kuna mijitu inachuki mpaka imekwenda kukodisha waganga wa kienyeji inaongozana nayo.
lowasa alimplot kifo mwakyembe ili asiwepo wkt anagombea urais asije kumchafua.......yako wapi! Mwisho wa cku yeye ndo mgonjwa mahututi. Mungu si lowasa na angekuwa lowasa ndo Mungu basi tungeisha wote
Acha uongo wa kudanganya wajinga.
Siasa za uongo ndio zinazotufanya tumkubali Lowasa na kuwapuuza washenzi na wanye chuki kama wale waliomuua Gadaf kwa kumuita fisadi leo hii Libya imechafuka na inatumbukia kwenye umaskini.
Musiendekeze siasa za chuki na kusingizia watu mauaji mtaipeleka nchi kubaya kwa chuki tu za kidini na kikanda.
Kama ungekua na akili kidogo tu ungejiuliza Lowasa amuue Mwakyembe kwa kuogopa kutajwa kwenye nini wakati alishatajwa na mamiliini yametumika kuandaa watu wa kumchafua na wanaendelea kumchafua.
Isitoshe ripoti ilishatolewa na imemtaja sasa sogope kutajwa wapi tena?
Kwa nini wasiwe ni wale ambao majina yao hayakutajwa japo walihusika?
Wale ambao hawakutajwa ndio ambao walikua na woga wa kutajwa lakini sio Lowasa ambaye tayari alikua ameshatajwa.
Pia ukumbuke kuwa ile tume haikua ni siri ya Mwakyembe na wala haikuwa ni uchunguzi wa siri wa Mwakyembe bali ilikua ni tume uliyohusisha wajumbe wengi na Mwakyembe alikua ni mwenyekiti tu,hivyo kila jambo liliamuliwa kwa maamuzi ya tume Mwenyekiti peke yake.
Jiulize ni kwa nini % kubwa ya wanaompinga Lowasa ni mawaziri lakini hawajamkamata kwa hayo wanayomsingizia.
Naamini kuwa kama Lowasa amesingiziwa MUNGU atawalipa wale wote waliomsingizia na kuyumbisha taifa na kujenga chuki kwa kumfitinisha na watu kwa kushuhudia watanzania wakimpa Lowasa Urais mwezi octoba.