Recent content by wambura sungura

  1. W

    Kwanini Mbowe hapatikani kwenye mitandao ya kijamii?

    Mi sijaona mantiki ya kujadili mtu kuhusu yeye mbowe kutokuwa kwenye mitandao kwani siyo mhim kwake mtoa maada jiangalie sana mitandao ya kbongo haina weredi kila mtu anapost anacho josikia so ni mhim asiwepo
  2. W

    Ndugu zangu watanzania, kama kuna unyama hauvumiliki kuona kwa macho ni pamoja na huu

    Mamba 20 yaliyoachwa kwenye rasimu ya katiba - By PolePole MAMBO 20 MUHIMU YA WANANCHI YALIYOTUPWA NA KATIBA INAYOPENDEKEZWA. UNATAKA KUUJUA UKWELI BASI SOMA HAPA NA MJULISHE MWENZIO. Katiba Inayopendekezwa ina mapungufu makubwa na imeyatupilia mbali maoni muhimu ya wananchi kama...
  3. W

    Sakata la Sukari: Wassira afuta vibali feki

    Mh hapo shida sana tena nchi hii imekwisha ooza kila idara ya serikari vibari feki kweli jamani wakamatwe wote walio hujum uchimi wa nchi yetu masikini ila uchaguzi waja jaman tufanye kweli.
  4. W

    GE2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

    Na yeye huyu ni mtz jaman achana atoe Elim kwa wale ambao hawana uelewa aaa
  5. W

    GE2020 Why Bernard Membe is not a presidential material, at all!

    Kiukweli ccm kiujumla haina kwa sasa viongozi ambao waataaminika kwa wtz mwenyewe uwezo wa kuona na kutambua chukua chako mapema mh
  6. W

    Tuache ushabiki wa kisiasa, CCM ina hazina sana ya viongozi

    Kweli mkubwa Jp Omuga hivi kwanini kila kukicha wanajenga bara bara hasa za dar tuu kwann? Naomba mnisaidie kwa mfano barabara ya mbande ,chamazi, mbagala na hiii ya kilwa Road fedha hizi wanapata wapi?? Za kila kukicha bajeti ya hayo mabarabara tu je utaniaaminisha aje kuwa ccm wasafi mkuu mh...
  7. W

    Sijui anataka kurudi kwani ndiye aliyeniumiza

    Hahahahaaaaaa mh tehe tehe hana hoja mapenzi hayashauriki kapenda yeye cc wa nn
  8. W

    Sijui anataka kurudi kwani ndiye aliyeniumiza

    Achana nae tafuta vitu vipyaa hata vya kichina c alizingua bana
  9. W

    Nimeota CCM imeanguka Uchaguzi Mkuu Oct 2015 na vurugu kubwa zimelikumba taifa

    Mh we acha tu mara ya kuisha somabujumbe huu Maji yaka mwagika tumboni pwaaaa mh sijui ni kweli au?
  10. W

    Rais Dr. Shein amtoa nje ya Ukumbi Ndugu Shaka Mwenyekiti wa CCM Vijana Zanzibar

    Ccm imekufa rakini wantumia nguvu kubwa sana kuipa uhai jaman kama mzoga umwoza acha uoze inamaana wakati wake umefikia kikomo hapo
Back
Top Bottom