Rais Dr. Shein amtoa nje ya Ukumbi Ndugu Shaka Mwenyekiti wa CCM Vijana Zanzibar

Dk. Shein inabidi aangalie Obama anavyodeal na hecklers, kama anataka demokrasia.

Angalia kuanzia dakika ya ishirini, Obama kamuachia mtu aliyeingilia hotuba yake -sio kipindi cha maswali- dakika moja nzima ya kumchamba.

Watch "Obama Heckled Over Immigration Policies In Chicag…" on YouTube
Obama Heckled Over Immigration Policies In Chicag…: http://youtu.be/FoQKOFFxA_w
 
Siku nyingine watamwita aeleze chama kilivokufa apewe Microphone yenye asali na maziwa .
 
ukitaka ukosane na ccm uwaambie ukweli
_hata huku bara jk kaizika ccm ila kuna mwanaccm wa kusema hili?
rais kucha anacheka tuuu na nchi inateketea
 
Shaka anatia shaka kama jina lake lilivyo, alipaswa kumshangilia Shein, kumfurahia na kumchekea Mkubwa hakosei. Hahahahahaa CCM CCM hao
MANI pita huku fasta

Mpwa kama ile hadithi ya mfalme alietaka nguo tofauti na watu wake. Akatembezwauchi mtaani.
 
Last edited by a moderator:
Hivo ndivo inatakiwa kiongozi awe,kamata,weka kizuizini,ndo heshima inakuja.
unadhani bila nyerere kutumia utaratibu huo wakina james mapalala na kina kambona si wangempanda kichwani.
 
Hivo ndivo inatakiwa kiongozi awe,kamata,weka kizuizini,ndo heshima inakuja.
unadhani bila nyerere kutumia utaratibu huo wakina james mapalala na kina kambona si wangempanda kichwani.

Jay kei angesubiri hata atupiwe kiatu ndio aone kuna hatari hapo....lakini haachi kucheka
 
Kumbe Shein naye anapenda hadhara za wapiga makofi tu; sio wanaofanya tafakuri tunduizi?! ndio maana Shaka akasema chama kimekufa; hiyo knee jack reaction ya Shein ni ishara mujarabu ya uongozi wa taasisi inayokufa; hataki kusikia mawazo mbadala!!

Badala ya kusema "Ok hebu tupe ufafanuzi wa kauli yako?!"; anakimbilia kusema umenidharau; Nonsense!!
 
Huyo kijana ni jasiri sana na wakimtimua basi anakaribishwa ukawa
 
Ccm imekufa rakini wantumia nguvu kubwa sana kuipa uhai jaman kama mzoga umwoza acha uoze inamaana wakati wake umefikia kikomo hapo
 
Shaka kwa CCM nyeupe husema pink apo labda ametumwa kn mtu au watu nyuma ya pazia ila mmhhh yy km yy Shaka Hana jeuri hiyo kusimama n kutamka hayo maneno
 
Nadhani watu wengi humu ndani naweza kusema wanakurupuka na kumsifu Huyu mtu aitwae Shaka. Na sishangai kuwa bado hawajamjua huyu Shaka. kama ni kweli haya anayoyasema mwandishi basi Dk. Shein alikuwa aendelee kustahamili utovu wa nidhamu wa huyu mtu Shaka ila watu wajue kwanini amemwambia kama yeye anakiharibu chama. Sikatai CCM imekufa miaka mingi Zanzibar ila wanalazimisha kwa kusaidiwa na CCM bara kuleta watu kupiga kura na kufanya fujo. Ila alichokusudia huyu jamaa ni kuwa kwanini Dk. Shein bado anaipigia debe serikali ya umoja wa kitaifa ambayo inazidi kuifanya CCM ife.
 
Back
Top Bottom