Wanayumbisha sanq na haya majina yao. Kwa nini tusiwe na jina fupi linalojumuisha yote haya?
"WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA MAKUNDI MAALUM"
Hizo mbwembwe za wanawake, wazee, watu wenye ulemavu, n.k ziingie ndani ya makundi maalum
Hapa inabidi ujichunguze wewe... Huna ujuzi wa huduma kwa wateja japo maarifa unayo. Ukiwa na ujuzi huo hutawachoka badala yake utawatafutia namna ya kuwapunguzia maswali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.