Recent content by wambeke

  1. wambeke

    Pamoja na kujenga ukuta Mererani, Tanzanite inapitishwa kama kawa na magari ya serikali na hayakaguliwi!

    Madini yanalindwa na Sheria sio Ukuta. Akili ya Jiwe anaijua mwenyewe
  2. wambeke

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa NSSF, Pro. Kahyarara na kumteua William Erio

    Jiwe hana kosa. Ila wateuliwa ndio wanamakosa
  3. wambeke

    Hii page 'Mwalimu wa Kiswahili' sio matapeli?

    Wewe ushapiga wangapi? Wewe lipa afu uje kutwambia imekuaje
  4. wambeke

    Kwanini wananchi hawafuatilii ipasavyo vikao vya Bunge la Bajeti vinavyoendelea Bungeni Dodoma?

    Duuh mie mwenyewe sijui kama kuna kikao cha bajeti. Acha wafu wazikane Mkuu
  5. wambeke

    Idara ya Uhamiaji yakanusha taarifa za kukataa kutoa kibali kwa Mkurugenzi wa Vodacom raia wa Kenya

    Mitanzania bwana.sasa kwanini limekanusha si bora ingebaki hivyo hivyo ili huyo Munguki asije.
  6. wambeke

    Rais Magufuli, hawa watu wako TRA wanachokifanya utachukiwa milele

    Ndio maana kukawa na jamii.ahsnate Kwa kuleta taarifa hii .itafanyiwa kazi
  7. wambeke

    Nigeria: Maaskofu Katoliki, "Kama Rais ameshindwa kazi" ang'atuke!

    Ha ha ha ha. Shikamoo mdogo wake Shigongo
  8. wambeke

    Kwa mwenendo huu, lazima kuna kitu kinakosekana kwenye Serikali ya rais Magufuli

    Hongera kwa uchambuzi uliotukuka. Karibu tena baadae
Back
Top Bottom