Samahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupi
Kujiajiri SI vibaya ila apo anahuakika wa maisha bila shuruti yoyote,haijalishi anapokea mshahara tarehe ngapi ila kama anahuakika wa maisha mbona freshi tuu,kama ataamua kuendekea n biashara yake anaweza Fanya ata kama ameajiliwa na serikali
Amekuchukia kwasababu ya mimba na anavyofanya ivyo moyoni mwake anakuwa na amani sana,usijali mwanamke akikuchukia sana anakuletea kopi yako,akishajifungua utashangaa anabadilika kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.