Bado niko nae tunalea familia, msalaba ni wangu nitaubeba hadi hatua ya mwisho niliamua ivo ingawa mpz yaliisha yamebaki mazoea na kama baba wa familia ila nimejikubali naishi kama single mother kwaajili yangu na watoto napambana kisawasawa na Mwenyezi Mungu ananisimamia.
1. Kubadilika alianza mapema tu wakati mtoto wetu wa kwanza akiwa mchanga sasa anamiaka kumi
2. Usaliti pia umewahi kutokea kipindi nalea
3. Namheshimu na kumthamini, kumpenda kweli moyo umejaa maumivu zaidi
4. mshahara wake naufahamu, najua kuna marupurupu anapata ofisini kwao ingawa yeye...
Binafsi najua maisha ni kusaidiana labda niliingilia majukumu yake, lakini inakuaje mtu anaondoka hajaacha pesa ya kula kwa ajili ya watoto wake na ukiangalia mifuko haina kitu! au kuboresha makazi hali uwezo upo.
namehishimu kwakua hata mama mkwe kwa uelewa wake anahisi mwanae ndo anafanya au...
Kuondoka siwezi, kwakua ili kuepuka garama za kodi ilibidi ninunue pagale ambalo tunaishi sasa nilimshirikisha wakati wa kununua ingawa niliandika jina langu baada ya kuona mwenzangu aheleweki
Nimeolewa miaka kumi iliyopita na nina watoto watatu.
Tatizo nikiumwa huyu mume wangu hajali, yaani hata kukuulza unaendeleaje akuulizi, mwaka jana nilijifungua kwa operationi alikaa wiki moja siku zilizofuata akawa anarudi saa saba usiku na kuendelea, nakumbuka siku msimu wa Crismas aliondoka...
Yaani unanitonesha kidonda ndugu nami niliuziwa miaka miwili iliyopita hadi leo kesi ipo serikali za mitaa, wameshanipa viwanja 3 kila wanachonipa kinamgogoro, nikawaambia wanirudishie pesa yangu hadi leo sijapata Roho inaniuma sana nikikumbuka jasho langu ila naendelea kufatilia
Kero za nyumba ya kupanga ni kujenga yako, hata vyumba viwili, mama mwenye nyumba yangu anataka kodi ya mwaka! Luku yenyewe ya kuchangia! Nimeamua kujilipua mkopo 30m nimenunua pagale vyumba 3 kiwanja miguu ishirini mjini, nimepiga magril nyavu za mbu nimechoka na kero zao, mama kwaheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.