Ila hawa meridianbet kuna muda wanatia hasira aisee, jumamosi na jumapili network yao inakua imelewa karibia siku nzima, nimefanya deposit za 500k Mara mbili zote hazijaingia kwenye account, Nikipiga customer care wananiekea miziki tu mpaka dakika 7 afu salio linaenda tu,pumbavu zao
Kwema wakubwa, vipi jamani hawa wazungu wanatoa hela au wanabana kama kawaida, nilipotea kama miezi hivi kuna bosi mmoja mpuuzi nilibishana nae akanipangia kazi porini huko hata network ya kuongea tabu tupu, nimerudi wakubwa kwa pamoja tumsake mzungu
Mkuu mahakamani mtu anaweza kushtakiwa kwa makosa hata 100, kila kosa Lina hukumu yake, ndo maana hua unaskia count1,count2,count3 na kuendelea, hukumu haitolewi kwa pamoja, kila kosa Lina hukumu yake
Mfano katika hayo makosa mia ukipatikana na hatia makosa yote let's say kuna hukumu za miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.