Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Huyu mdada toka nimemfahamu mwaka 2016 namfuatilia na kumsihi anipe nafasi nami ni-enjoy uzuri wake; nimekuwa nikimsihi sana anipe lau nafasi moja kuupoza moyo wangu.
Ananaambia nisubiri kwanza ananichunguza. Khaaa! ananichunguza nini miaka 3? Mpaka nawaza, je ananichunguza kama ntaota mkia au mapembe?
Ukimchunguza sana bata humli. Yeye ananichunguza ili iweje? Zawadi zangu hazichunguzi, anapokea tu; pesa hachunguzi natoa wapi, anapokea tu.
Nmemuuliza: "We fulani, ina maana ni bikra?" Ananambia we subiri tu utaona. Simwelewi nimechoka, kama mtu kuwa chini ya uchunguzi ndo inakuwa miaka 3.
Anataka nini? Natamani kumwambia alale mbele tu, napiga moyo konde kuwa angalau siku moja nipoze moyo wangu maskini.
Ananaambia nisubiri kwanza ananichunguza. Khaaa! ananichunguza nini miaka 3? Mpaka nawaza, je ananichunguza kama ntaota mkia au mapembe?
Ukimchunguza sana bata humli. Yeye ananichunguza ili iweje? Zawadi zangu hazichunguzi, anapokea tu; pesa hachunguzi natoa wapi, anapokea tu.
Nmemuuliza: "We fulani, ina maana ni bikra?" Ananambia we subiri tu utaona. Simwelewi nimechoka, kama mtu kuwa chini ya uchunguzi ndo inakuwa miaka 3.
Anataka nini? Natamani kumwambia alale mbele tu, napiga moyo konde kuwa angalau siku moja nipoze moyo wangu maskini.