Napatikana Ilala Banana Dar es salaam ,
Mkuu Ni wiki km Tatu sasa Hatuna Umeme Sababu Mita No. Ni Mbovu Tulichukua hatua ya Kuwataarifu TANESCO Waweze Kufanya Marekebisho Lkn walisema inatakiwa Kubadilishwa tupatiwe nyingine mpya Lkini Tunaishia Kuambiwa Tutakuja Kesho . TAMBUENI KUWA UMEME NI...
No Your still Learning Bud, Kwani China Imepata COVID19 Ndani Ya Mwezi Mmoja...? Ukifatilia Vzr ni Kwamba CHINA walianza kupata COVID 19 toka Mwezi Wa 12 Last Year.[emoji41]
Alafu Keep it in your mind That MUNGU hapimwi kwa Mafanyikio Unayoyaona Km Nyumba, Gari na vitu vyakuvutia km Hvy Bali...
Habari zenu wakuu
Kwa yeyote anayejua au mwenye ufahamu juu ya course hii Animal health and production basi achangie kwa kule anachokifahamu aidha iwe ni changamoto zake, inahusiana na nini n.k
Karibuni wakuu.
Boko haram.. Kuingilia hili suala naona watakua wanataka vita vya wazi tuh na serikar ya south sababu ukwel ni kwamb hata viongozi wa nchi wanakubaliana na xenophobic racism
Haisee mm nitamkumbusha, then atanipa ela yang pia haitaishia hapo nitamkopa kiasi cha fedha alaf na mm nalipiza mara mbl ya usumbufu[emoji56][emoji56][emoji56]
Sawa mkuu nadhani nimepata kitu ambacho nlkua sikifahamu [emoji11][emoji11][emoji11][emoji11] Ett mke anaweza akasababisha watu wajihudumie wenyew [emoji23][emoji23][emoji23]
Habarini za sahiv wakuu. Je, ni sababu zipi zinapelekea vijana wanajikuta wanaingia kweny Janga la kujichua? Kuna maswali yakujiuliza hapa:
1. Ni kwamba bahadhi yao hawawezi kujieleza au kutongoza?
2. Ni jambo ambalo ukilianza huwezi kuliacha?
3. Wasichana wanakaza kamba wakifatwa?
4. Hali ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.