Msongamano uliopo sio wa kitoto, watu wanazidi kumiminika kuja kununua sabuni maalum ya maji ya kuulia virusi (sanitizers) katika duka la MSD Muhimbili!
Ambalo ndilo duka la MSD moja pekee katika serikali ya awamu ya tano linalouza sanitizer Dar na Pwani!
Wakati hayo yakitokea hapa Tanzania! Nchi ya Kenya imesema inaandaa sanitizer ili kugawa bure nchi nzima!
Ambalo ndilo duka la MSD moja pekee katika serikali ya awamu ya tano linalouza sanitizer Dar na Pwani!
Wakati hayo yakitokea hapa Tanzania! Nchi ya Kenya imesema inaandaa sanitizer ili kugawa bure nchi nzima!